Wana Simba SC tumetamba vya kutosha huenda kuanzia leo nao Wakatamba kwa kutuacha kwa Alama (Points) Mbili (2)

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
 
Tatu malogo Yuko kule na mchezo ushamalizwa kiutu uzima usijali
 
Timu yenyewe Fountain gate eti nayo ya kuangaika na mambo ya kinyota, hapo si ni sawa na Barcelona awazie nyota wakati timu anayocheza nayo ni rivers united
 
Acha tuone,,,,,kama watakua na upepo wa alhamis wa JPM
 
Nasikia kocha mpya kapangua beki zinazocheza Kila mara Makame na mwenzake wanaanzia benchi Leo,,iyo ni alarm inagonga biashara ishafanyika
 
Hakika yametimia mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…