Wana Simba SC tumetamba vya kutosha huenda kuanzia leo nao Wakatamba kwa kutuacha kwa Alama (Points) Mbili (2)

Wana Simba SC tumetamba vya kutosha huenda kuanzia leo nao Wakatamba kwa kutuacha kwa Alama (Points) Mbili (2)

Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Hatimaye leo umeotea mtu ngumi ya kidevu
 
Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Utabiri uliotukuka, hongera sana GENTA,
 
Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Weita yuko wapi unastahili kinywaji unachotaka
 
Leo umepatia ila mimi nipo kwa marefa.
Hivi kwa matukio kama haya Viongozi wa chama cha waamuzi na bodi ya ligi awaoni aibu?

Maana kama ni mtoto (marefa ) awaoni aibu basi ata nyinyi wazazi ( chama cha waamuzi) Amuoni aibu?

Hivi Ligi namba 5 kwa ubora ndio inakua na marefa wa aina hii je! Ligi namba 40 /50 itakuaje?
 
20250115_154824.jpg
 
Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Dah ndugu yangu..hili limepita,..ila Mimi kiukweli kabisa roho yangu hainiambii hichi alichokifanya chasambi ni bahati mbaya...
Kila nerve yangu inaniambia huyu mtoto Leo katuuza asilimia zote,..hata alivyokua akicheza Leo dah ila ngoja tumuachie mungu
 
Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.

Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Wakupe maua yako umeupiga mwingi mkuu👏👏👏
 
Back
Top Bottom