Leo hii umemkumbuka mungu🤣🤣Dah ndugu yangu..hili limepita,..ila Mimi kiukweli kabisa roho yangu hainiambii hichi alichokifanya chasambi ni bahati mbaya...
Kila nerve yangu inaniambia huyu mtoto Leo katuuza asilimia zote,..hata alivyokua akicheza Leo dah ila ngoja tumuachie mungu