Nani kukudharau mkuu leo utabiri wako mule mule. Tusubiri 8th marchHypocrite.
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau JF!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kukudharau mkuu leo utabiri wako mule mule. Tusubiri 8th marchHypocrite.
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau JF!!!
rudia kusoma hapaTimu yenyewe Fountain gate eti nayo ya kuangaika na mambo ya kinyota, hapo si ni sawa na Barcelona awazie nyota wakati timu anayocheza nayo ni rivers united
Dah!..Kinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.
Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Hahahah muda ni Mwalimu mzuri sanaINASIKITISHA SANA.
NENDA HOSPITAL KAKA.
Asante sana, ila leo nikuambie na iwafikie na Wengineo kuwa kamwe hapa duniani huwezi kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" kama Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE halafu USICHUKIWE wala usionewe WIVU na Wapumbavu (Mapopoma)Huyu Genta nilishafatilia threads zake nyingi, na mara zote (kama siyo kwa asilimia kubwa) huwa zinatimia. Sema shida ni kwamba ukishasema hivyo kuna watu wanaibuka wanasema hiyo ID yako ni ya Genta akijipromote mwenyewe. Sijui kwanini watu huwa hawakubali mitazamo tofauti?
Ona hiliii GENTAMYCINETimu yenyewe Fountain gate eti nayo ya kuangaika na mambo ya kinyota, hapo si ni sawa na Barcelona awazie nyota wakati timu anayocheza nayo ni rivers united
Huyo Mpumbavu uliyepoteza muda wako Kumjibu NILISHAMDHARAU Kitambo sana.Hahahah muda ni Mwalimu mzuri sana
Huyo hajawahi kuwa na Akili hapa JamiiForums na tokea azaliwe na Waliomzaa.Ona hiliii GENTAMYCINE
Mlete.GENTAMYCINE Niko tayari kukupa Dada
Kama wanavyokuoteaga Kutwa kwa Mimba.Leo umeotea 😀
Au siyo🤣🤣Labda wachezeshe wachezaji 15 Fountain Gate ila kama ni 11 v 11 ushindi lazima
Ninj kimetokeaaaaaaaAposto kuna ushuhuda huku