Leo hii umemkumbuka munguπ€£π€£Dah ndugu yangu..hili limepita,..ila Mimi kiukweli kabisa roho yangu hainiambii hichi alichokifanya chasambi ni bahati mbaya...
Kila nerve yangu inaniambia huyu mtoto Leo katuuza asilimia zote,..hata alivyokua akicheza Leo dah ila ngoja tumuachie mungu
Wakupe maua yako umeupiga mwingi mkuuπππ
Komaaa...πππLabda wachezeshe wachezaji 15 Fountain Gate ila kama ni 11 v 11 ushindi lazima
Endeleeni tu Kunidharau.We jamaa...ππ
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau.Wakupe maua yako umeupiga mwingi mkuuπππ
GENTAMYCINEDuh kuna watu siyo wa kupuuzwa, akisema jambo ni kulipima kwanza halafu ndio maoni yaje na si kukurupuka
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau.Utabiri uliotukuka, hongera sana GENTA,
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau.Popoma una heshima kubwa hapa jukwaani
Ndo maana niliacha kupopoa
Lakini msije mkampoteza chasambi kosa ni la Camara aliyeomba mpiraGENTAMYCINE
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau.
Ni kweli ushindi ni lazimaLabda wachezeshe wachezaji 15 Fountain Gate ila kama ni 11 v 11 ushindi lazima
Nini kimetokea!!Aposto kuna ushuhuda huku
Hii ndio wanasema *mgeni hataki soda anataka apewe mia sita yakeKinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.
Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
Umetisha mwanawane....ebu nisomee na mie nyota yangu nijue kama nitatoboa kwenye hili life au ndio nitaendelea kula upepo wa bodabodaKinujumu (Kinyota) na hata Kihistoria ya Klabu yetu ya Simba ikiwa na Mechi zake katika Siku za Alhamisi kama ya hii Leo huwa inapata Matokeo makubwa mawili tu ambayo ni ama Kusare au Kufungwa.
Tukishinda leo basi ni Asante Kubwa kwa Mwenyezi Mungu ila kwa Uzoefu wangu na Ubobezi wa mambo Tukuka ya Kiutamaduni (Kiafrika Afrika) leo GENTAMYCINE nina Wasiwasi / Hofu kubwa na kupata Matokeo mazuri (Ushindi)
oy fountain walitoa hadi kipa wakacheza 10 kwa 11,vp km wangekuwa wametimia!!!Labda wachezeshe wachezaji 15 Fountain Gate ila kama ni 11 v 11 ushindi lazima
Waendelee / Endeleeni tu Kunidharau JF!!!Duh kuna namna maneno yako na kilichotokea unanishawish nkuzingatie. Respect Bro.
Hypocrite.Umetisha mwanawane....ebu nisomee na mie nyota yangu nijue kama nitatoboa kwenye hili life au ndio nitaendelea kula upepo wa bodaboda
Idiot.Timu yenyewe Fountain gate eti nayo ya kuangaika na mambo ya kinyota, hapo si ni sawa na Barcelona awazie nyota wakati timu anayocheza nayo ni rivers united