Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Kumbe unafahamu kabisa ni maandalizi ya ghafula na yamefaulu jambo ambalo CCM hamuwezi...Mnangoja mpaka muhula wa kufunga shule...CDM wameanza mwishoni mwa muhulaChukueni maarifa kwa Mwalimu Mwakasege au Mtume Mwamposa namna ya kufanya mikutano ya hadhara na maandalizi yake!