Msimamo wa CDM kama chama hautabiriki, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua bila tume huru ya uchaguzi au katiba mpya, hatutojitokeza kupiga kura kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi.
Itategemea uchaguzi utakavyoendeshwa,
Sasa unafikiria wagombea wa CHADEMA tu wakienguliwa kwa sababu ya kukosea kujaza fomu au mawakala wao tu wakizuiwa kuingia vituoni watayakubali hayo matokeo?!
Itategemea uchaguzi utakavyoendeshwa,
Sasa unafikiria wagombea wa CHADEMA tu wakienguliwa kwa sababu ya kukosea kujaza fomu au mawakala wao tu wakizuiwa kuingia vituoni watayakubali hayo matokeo?!