Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Yereuuuuuuuuuwi... Hizo thread zote ni comedy tuHivi kwa nini ndege, boti, mitumbwi, treni hazina kondakta?
Watangazaji wetu: Juu tai, shati, koti ila chini jinsi /kaptula na raba
Hatari: Wife wa mshikaji ameanza kulala na panga
Kesho naenda Somalia kwa pikipiki
Aliota anakimbizwa, aliposhtuka kajikuta sokoni Kariakoo
Msaada: Mpangaji mwenzangu ni mchawi
Amenitokea leo usiku anatisha sana
Nimesemeshwa na paka leo jioni
Nimepambana na nyati live
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Mungu wako hai hawajafariki haoHabarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
watakuwa wameibiwa simu mkuuHabarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
Mambo dia,Itajulikana tu... Bahati nzuri sikuhizi hatujifichi sana... So ni rahisi habari kufika
Umeenda mbali(kwy kufa)wakati hata akipewa uwaziri,uRC,uDC,uDED kama alikuwa ni mkosoaji wa watawala hapa, basi anatulia kama mfu vile!Habarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
Mh!Niko tofauti na hiyo avatar
Inabidi kuwe na special thread ambayo ni attendance
mtu asipoonekana hapo miaka miwili tunamfanyia sala
gfsonwin
Acha hizo bhana...Kwani mshana jr alivyofariki juzi hukupata taarifa mkuu???
Aiss nikajua was rest in...kumbe last seenmiss chagga was last seen:
Yesterday at 6:08 PM
"hatujifichi sana"!!!????Itajulikana tu... Bahati nzuri sikuhizi hatujifichi sana... So ni rahisi habari kufika
AiseeeeeeeeehInabidi tuanze kua na secret friend ambaye utampa details zako zote ikiwa ni pamoja na adress,namba za cm,unapoishi kila kitu na umuandike kwy wosia kwamba mtu huyu apigiwe simu atoe taarifa JF!
Kwakuwa mrembo zaidi eeehNiko tofauti na hiyo avatar
Mtani,[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Mungu wako hai hawajafariki hao
Mwaka juzi kalitokea katabia ka watu kujizushia kifo kwa kutumia ID nyingine!aisee walitumbuliwa haraka sana
BTW kifo ni kifo na habari hupatikana kwa namna ya ajabu kabisa japo zipo casualties chache ambazo watu hupotea mazima bila kujulikana hapa jukwaani
Si ningeringa sanaKwakuwa mrembo zaidi eeeh