KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
kuna member nilikua nawapenda sana siku lkn siku hizi siwaoni,na walionesha sana kuipenda sana JF ndo nikapata mawazo kuwa huwenda wako kama mm na labda wamefariki hivyo hakuna wakutujulisha.Kwa kweli kuna member humu nawapenda sana kwa michao na picha niliyojijengea juu yao hivyo japo sijui hata wanafananaje nawezaa kulia nikisia wametutoka.So ni mawazo kama haya ndo yamekua chanzo cha hii thread..
Hapo blue amina.
PAW akitutoka naamini taarifa zitafika kwenu hakika, na wengine sherehe...
Ama kwa hakika inatia huzuni kubwa kwa wenzetu waliotutangulia mbele za haki. Mungu awapumzishe sehemu salama Amin
JF ni zaidi ya familia.
kumbe wewe muislam...ndio mana abaya nyiiiiiingi,mke wa sheikh nini mwenzetu?
The Romantic NDIO mimi ni Muislam thou mume sio sheikh.... Ila naomba kujua "abaya" ndio nini?
The Romantic NDIO mimi ni Muislam thou mume sio sheikh.... Ila naomba kujua "abaya" ndio nini?
The Romantic NDIO mimi ni Muislam thou mume sio sheikh.... Ila naomba kujua "abaya" ndio nini?
MTAMBUZI samahani kama nitakua nimekusoma wron' uelekezi wako hapa unaonesha kabisa una kila elements ya mzaha. Sasa kama niko sahihi kwa mpango huo Jf membars mtajuana kweli ?
Bila kufanya juhudi za kufahamiana, mambo huwa kama stori ya rafiki yetu Abuu mkongo hapo juu!17th January 2011 12:02
R.I.P mwanaJF!
Viongozi wangu,
Salaam!
Kwa heshima na Taadhima naomba tukumbuke thread hiiHII-HAPA
Nimetaarifiwa na mwan-JF wa hapa Arusha kuwa mnamo tarehe 24/12/2010 member mwenzetu fulani waJF aliyekuwa anajulikana kwa jina la mtaani kama Abuu Mkongo alikuwa anasafiri kutoka Arusha kwenda Same kwao kwaajili ya sikuuu za mwisho wa mwaka, na akapata ajali katika kijiji cha Kileo-Mwanga iliyochukua maisha yake, akiwa kwenye gari no T391 PMG, aina ya Toyota Subaru, ambapo chanzo cha ajali ni kupasuka kwa tairi ya mbele.
Abuu alikuwa ni member active sana wa JF, lakini cha kusikitisha ni kwamba mleta habari(ambaye ndiye aliyemshawishi kujiunga na JF enzi hizo) hakuwahi kujua huyu marehemu alikuwa anatumia ID gani katika mabandiko yake...(hivyo mabandiko na posts zake zitalala doroo, na hatimaye kupotea kabisa baada ya muda..)
Aidha marehemu huyu alikuwa akifanyia kazi Ofisi ya ITV/Radio One -Arusha, akiwa kama muandaaji picha.
Mungu alilaze pema roho ya marehemu.
r.i.p chetuntu,queen umeongea la maana sana.kuna haja ya kutafuta mtu humu anijue kiukweli
Mi nikikaribia kuondoka ntawajulisha.
RIP kwa waliotangulia.
Mkuu, andika wosia (wa JF) halafu mwachie Invisible ili ukifa atutangazie. Mi mwezio nimeshafanya hivyo kwa hiyo nikidead atawatangaziaSisi wengine tukifa itakuwa vigumu sana kwa watu kujua humu.
Akitangulia Invisible itakuwaje?Mkuu, andika wosia (wa JF) halafu mwachie Invisible ili ukifa atutangazie. Mi mwezio nimeshafanya hivyo kwa hiyo nikidead atawatangazia
Naye anapaswa kuandika wosia amwachie Paw and vice versaAkitangulia Invisible itakuwaje?
Sisi wengine tukifa itakuwa vigumu sana kwa watu kujua humu.
Mkuu, andika wosia (wa JF) halafu mwachie Invisible ili ukifa atutangazie. Mi mwezio nimeshafanya hivyo kwa hiyo nikidead atawatangazia
Akitangulia Invisible itakuwaje?