PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
They just Perish!atajuaje kuwa umeshakufa?
The Robot never die, lol..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They just Perish!atajuaje kuwa umeshakufa?
The Robot never die, lol..!
Sisi wengine tukifa itakuwa vigumu sana kwa watu kujua humu.
Una uhakika na usemayo???
Did you want to say "the balls are"Nina uhakika wa asilimia 110 Mama Tuli.
Najua ushawahi kusema wanijua. Mimi nasema hivi, hunijui (usiisome hiyo 'hunijui' kwa ubaya).
Kama wanijua, nitajie initials za majina yangu. The ball is in your court.
Did you want to say "the balls are"
the ball is in your court ◊If the ball is in your court, you are the person who is expected or required to do something.
Source: Merriam-Webster's Learner's Dictionary
Did you want to say "the balls are"
Nina uhakika wa asilimia 110 Mama Tuli.
Najua ushawahi kusema wanijua. Mimi nasema hivi, hunijui (usiisome hiyo 'hunijui' kwa ubaya).
Kama wanijua, nitajie initials za majina yangu. The ball is in your court.
Lol.....hapo kwa red nitasomaje kwa uzuri:frown:
haya bwana muda si mrefu tutaonana nitakushika mkono na kusogeza pembeni ndio utaelewa:wink2:
mpe pole sana,mwambie ktk maombo yangu yupo.
Ni PM ili tujuane na mimi au unasemaje?r.i.p chetuntu,queen umeongea la maana sana.kuna haja ya kutafuta mtu humu anijue kiukweli
Tatizo nalo liona hapa ni haya majina yetu tunayoyotumia ndo kimeo. So ungeekwa utaratibu majina halisi yawepo even though mna comment hadi daaaa. Inatisha espc ukienda jukwaa la siasa. mi sioni tatizo slogani ya JF iko wazi kwa nn tufiche majina ya ukweli kama kinachojadiliwa nin ukweli tupu.
kwa maana kwamba kifo kina tafsiri nyingi hapa atakuwa amekufa ki uhai wake jamvini yaani kuchangia!!!usipowaona mtandaoni kwa miaka 3 ujue wamekufa, at least hayo majina yao