Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

As hii ni forum sidhani kama kuna taarifa wanapewa wenye jf na waliokufa kuwa wamefariki as wengi asilimia kubwa kama mimi na wewe tunatumia vijina vya kujitungia.

Sasa kuna waliotokea kujuana humu hao ndio wanatoa taarifa ya wenzao kufariki na kama wanajua Id zao.

Humu unaona wengi wanajuana kwa majina yao humu ila wanakosa ule u freedom wa kuongea bila kujulikana kama ilivyo inavyotakiwa kwenye forum labda mtu atake mwenyewe kujulikana.
Nasema hivi maana wengi wao wana majina mengine(ya pili au hata matatu) humu wanaweza ongea la moyoni bila kujulikana ni wao na kwa raha zao.
 
Mpaka sasa wana Jf waliokufa wanakidiriwa kufika wangapi?

Kuna habari 1 nimesoma inasema kua mpaka sasa watumiaji

wa facebook waliokufa wanafika milioni 33

Ningeomba Mods wa JF waifanyie kazi hii issue, ni muhimu sana
Mkuu.@Boflo hujuwi Muanzilishi wa facebook MR Mark Zuckerberg ni Free Mason anawatowa Member wake Sadaka? ili aweze kuwa tajiri duniani.






 
Last edited by a moderator:
mkuu.@boflo hujuwi muanzilishi wa facebook mr mark zuckerberg ni free mason anawatowa member wake sadaka? Ili aweze kuwa tajiri duniani.








watu wassiokuwa na kazi ndo huwa na story za freemason-kala jeremaya

mzizi na we unaamini haya? Unaushahidi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.@Boflo hujuwi Muanzilishi wa facebook MR Mark Zuckerberg ni Free Mason anawatowa Member wake Sadaka? ili aweze kuwa tajiri duniani.








aiseee itabidi niifunge totally hii account ya fb kumbe ndio zake..
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu umenizindua sana, na sasa nimekuamini, huwa nina kawaida
nikisikia fulani amekufa haraka nina search jina lake kwenye facebook
kuangalia account yake, na akila anayekufa niliyemsikia huwa nampata Fb
asante sana mzizi kwa kunizindua
 
Last edited by a moderator:
mzizimkavu umenizindua sana, na sasa nimekuamini, huwa nina kawaida
nikisikia fulani amekufa haraka nina search jina lake kwenye facebook
kuangalia account yake, na akila anayekufa niliyemsikia huwa nampata fb
asante sana mzizi kwa kunizindua

upofu ni mbaya sana na waliofariki kwenye ghorofa la dar juzi juzi na walikuwa na fb account nao ni mark ndo kawaua?

Na rubani wa ndege iliyoangua arusha kama ni fb member naye ni mark kamuua??

Na ndugu zako je?.

NAJUA UMASKINI NDO CHANZO CHA FIKRA HIZI
 
Last edited by a moderator:
upofu ni mbaya sana na waliofariki kwenye ghorofa la dar juzi juzi na walikuwa na fb account nao ni mark ndo kawaua?

Na rubani wa ndege iliyoangua arusha kama ni fb member naye ni mark kamuua??

Na ndugu zako je?.

NAJUA UMASKINI NDO CHANZO CHA FIKRA HIZI
hata haueleweki unachoongelea, hapa tunaongea mengine
ww unatuletea habari za magorofa ya dar!! MziziMkavu hebu nisaidie
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu umenizindua sana, na sasa nimekuamini, huwa nina kawaida
nikisikia fulani amekufa haraka nina search jina lake kwenye facebook
kuangalia account yake, na akila anayekufa niliyemsikia huwa nampata Fb
asante sana mzizi kwa kunizindua
Mkuu Boflo ukiwa ni Mwanachama wa FRee Mason lazima utoe kafara kila mwaka usipo toa kafara wanakumaliza wewe mwenyewe wew angalia kila mwanachama wa Free Mason lazima atoe kafara ndio wakupe utajiri wao sasa huyu Mkuu wa Facebook anao wanachama wangapi duniani? MR Mark Zuckerberg ? Lazima awe Tajiri kwa kuwatowa hao Wanachama wake Sadaka kwa shetani mkuu wa Dunia Lucifer.

satanic.gif


ili awe tajiri na asipo toa sadaka kwa hao wanachama wake watamuuwa yeye mwenyewe.

angalia Video hii hapa chini









Mkuu Boflo unataka utajiri unaotokana na shetani Lucifer?
 
Last edited by a moderator:
Au kwa vile kanumba alikufa ghafla na alikua na account fb?Hayati Baba wa taifa kumbe hapo awali alikua mwanachama wa fb? Duuh hadi Sokoine hayati nae pia alikua na profile lake fb nimesachi nimeona post zake alizopost kabla umauti haujamfika
 
dah! bas Boflo nafkiri mimi nikifa hutanipata manake sinaga ac huko fb na hata google hainijui lolz!
 
Last edited by a moderator:
Umuhimu wake ni kuwatambua wenzetu waliotangulia pia kwa kutunza kumbukumbu, JF ni kama kijiji!
Sure, pia kuna wana Jf wanaopotea muda mrefu hapa
jamvini kama zomba tutajuaje taarifa zao, ni vizuri kujuzana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Boflo ukiwa ni Mwanachama wa FRee Mason lazima utoe kafara kila mwaka usipo toa kafara wanakumaliza wewe mwenyewe wew angalia kila mwanachama wa Free Mason lazima atoe kafara ndio wakupe utajiri wao sasa huyu Mkuu wa Facebook anao wanachama wangapi duniani? MR Mark Zuckerberg ? Lazima awe Tajiri kwa kuwatowa hao Wanachama wake Sadaka kwa shetani mkuu wa Dunia Lucifer.

satanic.gif


ili awe tajiri na asipo toa sadaka kwa hao wanachama wake watamuuwa yeye mwenyewe.

angalia Video hii hapa chini









Mkuu Boflo unataka utajiri unaotokana na shetani Lucifer?


Common sense is not common.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom