Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jukwa letu limepoa uwe unapeleka hata umbea kidogo kule!Rip Dena amsi
Niko mpenzi mchangiajiJukwa letu limepoa uwe unapeleka hata umbea kidogo kule!
Tumewapoteza members wetu wengi wa JF wengine tunataarifa zao na wengine hatuna taarifa zao ila walishatangulia mbele za haki. Basi tusiache kuwakumbuka, kuwaombea na kuenzi yale mema yao yote hapa jukwaani na kuutambua mchango wao!Ukijiona umzima wa afya na unapumua mshukuru mola wako! Kifo ni fumbo na siri kubwa, umauti unapofika na roho ikauacha mwili.
Jitahidi sana kutafakari yale yote unayoyatenda katika Dunia hii. Kila baya litalipwa na kila nafsi itaonja umauti. Unapojiona unapumua sikwamba wewe ni mnyoofu sana la hasha Mungu amekupatia hiyo nafasi kwa kudra zake, hivyo basi tusiache kuwaombea marehemu wote na kuwatakia kheri.
Tumewapoteza members wetu wengi wa JF wengine tunataarifa zao na wengine hatuna taarifa zao ila walishatangulia mbele za haki. Basi tusiache kuwakumbuka, kuwaombea na kuenzi yale mema yao yote hapa jukwaani na kuutambua mchango wao!
Inna lillahi wa inna llayhi Raaji'oon
Innal lazeena aamanoo wa ‘amilus saalihaati kaanat lahum Jannaatul Firdawsi nuzulaa
Since last year,acha kabisa,Mungu amuweke rehmani,nilienda kumsindikiza Muhimbili wakiwa wanaelekea kwao Mbeya kupeleka mwili wake[emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji22][emoji29]Poleni sana.
Kumbe huyu mdau mkuu wa kule Celebrity ameshatutangulia?
Dah warumi, niliumia kweli, ingawa sijawahi kumjua, ila thread zake zilinifurahisha Sana.Since last year,acha kabisa,Mungu amuweke rehmani,nilienda kumsindikiza Muhimbili wakiwa wanaelekea kwao Mbeya kupeleka mwili wake[emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji22][emoji29]
Dah.....😳Mkuu naomba unitajie au um tag mmoja wapo hapa, ingawa hawapo tena.
Acha kabisa niliumia mnooo Tena Sanaa!Dah warumi, niliumia kweli, ingawa sijawahi kumjua, ila thread zake zilinifurahisha Sana.
Wengine tusiojulikana wala kutambulika kwa michango yetu humu, siku tukiondoka hamna atakae jua hata [emoji25].
Will forever miss you warumi
Sasa tutajuaje na unajificha nyuma ya keyboard?Acha kabisa niliumia mnooo Tena Sanaa!
Mi nikifa mtajua tu kwa namna zote
Mimi huyu ???!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]Sasa tutajuaje na unajificha nyuma ya keyboard?
Kwa mara nyingine tena, poleni sana.Since last year,acha kabisa,Mungu amuweke rehmani,nilienda kumsindikiza Muhimbili wakiwa wanaelekea kwao Mbeya kupeleka mwili wake[emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji22][emoji29]
Tushapoa nduguKwa mara nyingine tena, poleni sana.
Sikuwa nafahamu kwa kweli, hizi taarifa nimezisikia jana kwa mara ya kwanza kwenye Uzi huu.
Pumzi hizi sio kitu, basi tu huwa tunajisahau