Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Ndio maana unatakiwa uwe verified.Mimi nikifa mtajuaje🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana unatakiwa uwe verified.Mimi nikifa mtajuaje🤣🤣
R.I.PTumewapoteza members wetu wengi wa JF wengine tunataarifa zao na wengine hatuna taarifa zao ila walishatangulia mbele za haki. Basi tusiache kuwakumbuka, kuwaombea na kuenzi yale mema yao yote hapa jukwaani na kuutambua mchango wao!![]()
Sijajua vigezo wanavyotumia kumverify member naona blue tick tuNdio maana unatakiwa uwe verified.
Nenda pale kwenye settings ili ukifa iwe rahisi watu kujua na kuhudhuria msibani au mazishi yko.Sijajua vigezo wanavyotumia kumverify member naona blue tick tu
Wakijua na kuhudhuria mimi nitafaidika na nini?Nenda pale kwenye settings ili ukifa iwe rahisi watu kujua na kuhudhuria msibani au mazishi yko.
Tuanze na ww,unaona nina mchango gani chanya humu?Una michango mkuu we hujui tu! Usikubali kabisa kufa bila members wa JF kujua
Acha Kabisaa it was hard!!![emoji22][emoji22][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]so hardRIP warumi
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24], Jah aendelee kukupumzisha kwa amani huko uliko.
Ma friend, ma neiba, ma kidampa. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Amiyn amenإنا لله وإنا إليه راجعون
Kila nafsi itaonja umauti, na hakuna atakaebakia isipokuwa Allah peke yake.
Allah atujaalie mwisho mwema.
Nawapendeni wote bila kujali dini ya mtu, kabila, utaifa n.k.
Bhujiku ng'waka
Yaani acha kabisa sipati picha walomponda na kumdhihaki sijui walijskiaje after his demiseNimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)
Ripoti ya daktari inasema baada ya miezi 4 nitakufa kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4.) Kwa hiyo miezi minne ijayo nitaweza kuona kile marehemu wanachoona sijui kufa kunaumaje? Juzi nimepita kando ya makaburi nikaishia kutabasamu tu nilipogundua next 4 month nitafukiwa...www.jamiiforums.com
Huyu Mwanetu alisikitisha saana.
Rip folk.
Niambie japo account ya Jiwe tu mkuu hata indirect ili nichambue akili niijue, just give me an assignmentDah.....wachache sana humu tuliozijua akaunti za BWM na JPM [emoji2960]