Licha ya kuwa mpira ni haramu kwa mujibu wa mafundisho ya dini yangu lkn kama mimi kama msomi sinabudi kuchambua mchezo huo.
Tuanzie hapa.
Yanga na simba ni timu kongwe sana Tanzania, ni timu zenye washabiki wengi na ndio timu zinazotegemewa ktk Afrika kwa ujumla.
Yanga imevuma sana huko nyuma tangu enzi za Juma Mkambi ( General) , Makumbi Juma ( Homa ya jiji) Lauret Mwalosako, Athumani Juma Chama, Yussuf Bana, Godwin Aswile, Edubli Lunyamila- hini kizazi cha hivi karibuni kabla kizazi nyuma kabisa cha akina Sunday Manasara, Said Zimbwe nk
Huku simba ikiwa na Malota Soma, Edward Chumila na wengine wengi.
Kwanini hadi leo Simba Yanga hazina uwanja tofauti na Azam ambayo ni yajuzi juzi tu?
Mipango mibaya na ufisadi wa timu unaathiri maendeleo.
WANACHAMQ WA YANGA SIMBA NI MAMBUMBU
Wanachama wa Yanga na simba wao wanaangalia nani kamfunga nani lkn hawaangalii management imefanya nini
Management ilimuekea kikwazo FEI Toti wanachama walifurahia huku mijadala ya mtandao ya kijaamii ikishika kasi
1. Utawala unafanya nini ktk ujenzi wa uwanja? Au itakuwa inadandia viwanja vya timu ndogo ndogo?
2. Timu ina kipato gani na ina madeni gani?
3. Hipi long plan ya timu ambayo imewasilishwa katika mkutano wa wanachama?
4. Mapato na matumizi ya timu kwa mwaka imewasilishwa kwa wanachama? Au ndio akisajiliwa mchezaji wa kigeni na kusifiwa na uongozi wanachama wanaridhika?
3
.
Tuanzie hapa.
Yanga na simba ni timu kongwe sana Tanzania, ni timu zenye washabiki wengi na ndio timu zinazotegemewa ktk Afrika kwa ujumla.
Yanga imevuma sana huko nyuma tangu enzi za Juma Mkambi ( General) , Makumbi Juma ( Homa ya jiji) Lauret Mwalosako, Athumani Juma Chama, Yussuf Bana, Godwin Aswile, Edubli Lunyamila- hini kizazi cha hivi karibuni kabla kizazi nyuma kabisa cha akina Sunday Manasara, Said Zimbwe nk
Huku simba ikiwa na Malota Soma, Edward Chumila na wengine wengi.
Kwanini hadi leo Simba Yanga hazina uwanja tofauti na Azam ambayo ni yajuzi juzi tu?
Mipango mibaya na ufisadi wa timu unaathiri maendeleo.
WANACHAMQ WA YANGA SIMBA NI MAMBUMBU
Wanachama wa Yanga na simba wao wanaangalia nani kamfunga nani lkn hawaangalii management imefanya nini
Management ilimuekea kikwazo FEI Toti wanachama walifurahia huku mijadala ya mtandao ya kijaamii ikishika kasi
1. Utawala unafanya nini ktk ujenzi wa uwanja? Au itakuwa inadandia viwanja vya timu ndogo ndogo?
2. Timu ina kipato gani na ina madeni gani?
3. Hipi long plan ya timu ambayo imewasilishwa katika mkutano wa wanachama?
4. Mapato na matumizi ya timu kwa mwaka imewasilishwa kwa wanachama? Au ndio akisajiliwa mchezaji wa kigeni na kusifiwa na uongozi wanachama wanaridhika?
3
.