Umeonesha kuwa umezaliwa miaka ya juzi juzi au pengine umeanza kufatilia mpira juzi juzi tu.Umezitaja za Italian ambazo makombe ya kimataifa wayasahau
Shekhee akisikia kitimoto akili humruka🤣🤣"Nguruwe sili ni haramu ila mchuzi wake naweza kuonja esp kama kachinjwa na mwenzetu."
Alisikika Shekhe ubwabwa.
Ukiwemo wewe na chama Chako chakavuTumeandika hadi tumechoka, Kuna rafiki yangu mmoja mzungu aliniambia akili za WanaSimba na Yanga ndio akili halisi ya Mtanzania
Sheikh ubwabwa tu huyo. Hana lolote.Sasa mpira kama ni haramu kwa mujibu wa dini yako kwa nini shekhe unauongelea? Au umeona mafundisho na makatazo ya dini yako ni takataka!!!?
Kwani Simba na Yanga zina maendeleo duniani? Hizi timu zina maendeleo hapa Tanzania tuu huko duniani hazina maendeleo yoyote.Taja timu moja yenye maendeleo duniani ambao wana outsource ya uwanja
Hao AC Milan na Inter Milan kila mmoja ana training ground yake zaidi ya Chamazi. Hakuna timu ya maana ambayo haina uwanja wa kisasa bila kujali ni wa mechi au training.AC Milan, inter Milan uwanja wa Giuseppe meazza
Mleta uzi kazungumzia training ground ama uwanja kwaajili ya mechi?Hao AC Milan na Inter Milan kila mmoja ana training ground yake zaidi ya Chamazi. Hakuna timu ya maana ambayo haina uwanja wa kisasa bila kujali ni wa mechi au training.
Yanga simba wanachama mambumbuu, wakipigiwa chenga tu uwanjani wanaona ndio mafanikio yaoMleta uzi kazungumzia training ground ama uwanja kwaajili ya mechi?
Anauliza kama ilichinjwa na muislamu.Shekhee akisikia kitimoto akili humruka🤣🤣
Wakati mnajifariji Kwenye hamna Kwa kujifananisha na AC Milan na Inter nimewapa vile ambavyo wanamiliki ili mjifananishe pia. Kwa uchumi WA yanga na Simba hizo training ground za AC Milan na Inter zinafaa kuwa za mechi. Sasa unaanzaje kujifananisha na hao wakati hata pa kufanyia mazoezi panapoeleweka huna .Mleta uzi kazungumzia training ground ama uwanja kwaajili ya mechi?
Kuwa na uwanja sio ndio kuwa na mafanikio, kuna timu ngapi zina uwanja na hazina mafanikio yoyote? Hao Azam wana uwanja wao lakini tokea imeanzishwa wana kipi cha maana?Wakati mnajifariji Kwenye hamna Kwa kujifananisha na AC Milan na Inter nimewapa vile ambavyo wanamiliki ili mjifananishe pia. Kwa uchumi WA yanga na Simba hizo training ground za AC Milan na Inter zinafaa kuwa za mechi. Sasa unaanzaje kujifananisha na hao wakati hata pa kufanyia mazoezi panapoeleweka huna .
Mbumbumbu unaanzia kwako unayesema dini yako imekataza maswala ya mpira halafu unakuja hapa kuuchambua mpira.Yanga simba wanachama mambumbuu, wakipigiwa chenga tu uwanjani wanaona ndio mafanikio yao
Kuwa na makombe halafu hayakubadilishi kiuchumi hayo ni mafanikio kiduchu Sana.Mafanikio ndani ya uwanja yanatakiwa yaende sambamba na mafanikio nje ya uwanja (yaani miundombinu, uwekezaji) . Kwa hiyo ukifikiri vizuri utawaona Azam wana mafanikio kwenye miundombinu na hao wengine wana mafanikio ndani ya uwanja, lakini timu kubwa yoyote itataka kuwa na hivyo vyote.Kuwa na uwanja sio ndio kuwa na mafanikio, kuna timu ngapi zina uwanja na hazina mafanikio yoyote? Hao Azam wana uwanja wao lakini tokea imeanzishwa wana kipi cha maana?
Unadhani Ac Milan na Inter Milan wanashea uwanja kwavile uchumi wao upo chini? Au ni maamuzi yao na vipaumbele vyao wameona kuwa na uwanja hakuna faida kwao kwasasa? Ukiangalia profile ya vilabu utakuta wameandika mataji na hiyo ndio furaha kubwa ya waanzilishi wa hivyo vilabu na mashabiki wake. Kuwa na uwanja bila huku hubebi makombe ni sawa na bure.Kuwa na makombe halafu hayakubadilishi kiuchumi hayo ni mafanikio kiduchu Sana.Mafanikio ndani ya uwanja yanatakiwa yaende sambamba na mafanikio nje ya uwanja (yaani miundombinu, uwekezaji) . Kwa hiyo ukifikiri vizuri utawaona Azam wana mafanikio kwenye miundombinu na hao wengine wana mafanikio ndani ya uwanja, lakini timu kubwa yoyote itataka kuwa na hivyo vyote.
Na ndege zao,na viwanda vya kutengeneza jersey, and other sportskits na wamiliki wanawake wao wa kuwazalia watoto wa kuja kua wachezaji wao badala ya kutegemea wachezaji wa kununua.Uwanja wa mpira Wala sio jambo kubwa la kuwatisha Simba na YANGA sema tu hawajaona tija kuwekeza huko, wameona bora wa outsource viwanja kuliko kujiongezea majukumu ya kumaintain uwanja, kama viwanja ni muhimu kwako basi tuwaambie pia wawe na hotels zao wasiwe wanakodi maana ni gharama pia.
Uislam unakataza mpiraLicha ya kuwa mpira ni haramu kwa mujibu wa mafundisho ya dini yangu lkn kama mimi kama msomi sinabudi kuchambua mchezo huo.
Tuanzie hapa.
Yanga na simba ni timu kongwe sana Tanzania, ni timu zenye washabiki wengi na ndio timu zinazotegemewa ktk Afrika kwa ujumla.
Yanga imevuma sana huko nyuma tangu enzi za Juma Mkambi ( General) , Makumbi Juma ( Homa ya jiji) Lauret Mwalosako, Athumani Juma Chama, Yussuf Bana, Godwin Aswile, Edubli Lunyamila- hini kizazi cha hivi karibuni kabla kizazi nyuma kabisa cha akina Sunday Manasara, Said Zimbwe nk
Huku simba ikiwa na Malota Soma, Edward Chumila na wengine wengi.
Kwanini hadi leo Simba Yanga hazina uwanja tofauti na Azam ambayo ni yajuzi juzi tu?
Mipango mibaya na ufisadi wa timu unaathiri maendeleo.
WANACHAMQ WA YANGA SIMBA NI MAMBUMBU
Wanachama wa Yanga na simba wao wanaangalia nani kamfunga nani lkn hawaangalii management imefanya nini
Management ilimuekea kikwazo FEI Toti wanachama walifurahia huku mijadala ya mtandao ya kijaamii ikishika kasi
1. Utawala unafanya nini ktk ujenzi wa uwanja? Au itakuwa inadandia viwanja vya timu ndogo ndogo?
2. Timu ina kipato gani na ina madeni gani?
3. Hipi long plan ya timu ambayo imewasilishwa katika mkutano wa wanachama?
4. Mapato na matumizi ya timu kwa mwaka imewasilishwa kwa wanachama? Au ndio akisajiliwa mchezaji wa kigeni na kusifiwa na uongozi wanachama wanaridhika?
3
.