Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
alichoshindwa ni kujua kama ulikuwa unamtaka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajuajee? Je alijaribu afu akashindwa. Woiiiiih
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alichoshindwa ni kujua kama ulikuwa unamtaka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajuajee? Je alijaribu afu akashindwa. Woiiiiih
Ungekuwa Dar ningekuelekeza chimbo zinapopatikana Kariakoo....
Shida upo Mkoa.
Nakazia, ukikosea dress code zinageuka na utaonekana umevaa rainboot ama safetybootKunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?alichoshindwa ni kujua kama ulikuwa unamtaka.
Thubutuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mkaka mwenyewe ndio mimi [emoji38]
Ngoja nitarudi.Tuwekee hizo dress code
Hii kali inaendaje?
Gusia basi aina ya shati na suruali..Kunae mkaka akat tuko chuo, alikua anavaa hizi travoz zilikua zinamtoaa hatariii. Na code dress alikua anapatia haswaaa.
Hizi travoz ujue na code dress yake, Co unajivalia tyuh utachekesha mtaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
120K iyo ni TimsHii kali inaendaje?
Tunapenda kupendeza ila dah 120 parefu. Ngoja tujitafute120K iyo ni Tims
Ni ngoziTunapenda kupendeza ila dah 120 parefu. Ngoja tujitafute
Kuna ambavyo ni 50K pia na viko OgTunapenda kupendeza ila dah 120 parefu. Ngoja tujitafute