Pamoja na lawama kwa serikali, nadhani watanzania tuna ushamba au ulimbukeni juu ya mambo, dunia kwa sasa ni kama kijiji, kuna matukio tunaweza kuyaangalia tukiwa majumba i mwetu lakini myu mwenye akili timamu anabeba watoto na kuwapeleka kwenye mazingira hatarishi kama yaleKuna umuhimu kwa familia za wahanga wote kulipwa fidia na serikali. Wangefuata taratibu sahihi za miaka yote za kuwaaga viongozi wa kitaifa, haya yote yasinge tokea.
Pole sana.Sana huwezi amini picha za hao wtt zinajirudia kichwani mwangu naumiaaa naumia sana
Mjinga zaidi ni mume, aliruhusu vipi familia yake kwenda kwenye porpulation kama ile, yaani mke wako anakurupuka tu anaondoka nyumbani na watoto wote eti anawapeleka msibani, unapoutwa kichwa cha familia ni pamoja na kuilinda familia yako, kuhakikisha kila wanapokwenda usalama wao ni 100%Huyu Mama alikua mjinga sana amesababisha watoto wafe kifo kibaya mno, na inaonekana walidondoka wote kwa pamoja na watu wakawalalia.
Asante mkuu. Sijui kuwa mama kumeniathiri?Pole sana.
Nimejikuta na maswali mengi sana, hasa pale nilipowaza courage ya huyo mama kubeba watoto mpaka uwanja wa taifa, watoto wadogo ambao pengine hata hawawlewi maana ya msiba au maiti, ninewaza pia kuhusu mume ambae amewaruhusu watoto kupelekwa uwanja wa taifa kuaga mwili, watoto ambao bado ni wadogo na wangeweza kuangalia kwenye TV yukio zima
Nimewaza ile porpulation ya uwanja wa taifa, especially panapokua na shughuli za kitaifa
Tukijiukiza sana tutamkufuru Mungu ila tupate funzo kwa kila mmoja wetu, akina mama na akina baba, sio kila tukio lazima ubebane na watoto, the world is digitalized na unaweza kuangalia mitandaoni au kwenye TV , yale yanayokwepeka tuyakwepe, pia hata kama sio vifo ila tunawatesa hawa watoto na tunawaweka kwenye hatari tunapowapeleka sehemu zenye matukio ya namna hiyo tena mchanganyiko wa watu tofauti
Mungu awafariji wafiwa hasa Mume ambae amepoteza watoto na mke, lakini pia tuwaombee marehemu wapumzike kwa amani
Mume wangu amesafiri ila alivyojua ni zamu yetu Dom kuaga kapiga simu asubui asubui akasema asisikie mtu anaenda uwanjani au barabarani kuaga tuomboleze kupitia TV tuu.Mjinga zaidi ni mume, aliruhusu vipi familia yake kwenda kwenye porpulation kama ile, yaani mke wako anakurupuka tu anaondoka nyumbani na watoto wote eti anawapeleka msibani, unapoutwa kichwa cha familia ni pamoja na kuilinda familia yako, kuhakikisha kila wanapokwenda usalama wao ni 100%
Ni sawa ila sisi tuliobaki tupate somoKuna hiyo nadharia huja baada ya jambo kutokea, kwanini hakufanya hivi, kwanini haikua vile, hivi ilikuaje akaenda njia hile ona mpaka umauti imemfika, lakini jambo lilojificha ni siku ikifika nahisi unakua kama umepumbazwa hata huwezi kung'amua mambo au kufanya maamuzi mengine tofauti
Kabisa nadhani huwa kuna nguvu fulani. Natamani hata kujua walikua wanajisikiaje but who to tell a taleKuna hiyo nadharia huja baada ya jambo kutokea, kwanini hakufanya hivi, kwanini haikua vile, hivi ilikuaje akaenda njia hile ona mpaka umauti imemfika, lakini jambo lilojificha ni siku ikifika nahisi unakua kama umepumbazwa hata huwezi kung'amua mambo au kufanya maamuzi mengine tofauti
Msiba juu ya msiba, yule baba wa hile familia nimekosa majibu, mtu kukumbwa na msiba wa kupoteza members of ur family [emoji128] ni jambo sio rahisi, ni ngumu kuubeba msiba huu na unahitaji kifua kwa kweli hasa muda kama huu usiku unapoingia kulala, pale unapobaki peke yako na mawazo yako na kutafakari yaliyokutokeaSana huwezi amini picha za hao wtt zinajirudia kichwani mwangu naumiaaa naumia sana
Halafu kuangalia tukio kwenye TV ni raha kuliko live,kwenye TV utaona angle zote maana wana camera nyingi.Pamoja na lawama kwa serikali, nadhani watanzania tuna ushamba au ulimbukeni juu ya mambo, dunia kwa sasa ni kama kijiji, kuna matukio tunaweza kuyaangalia tukiwa majumba i mwetu lakini myu mwenye akili timamu anabeba watoto na kuwapeleka kwenye mazingira hatarishi kama yale
ni mtenvu yup yule wa tmk maana wabunge wa saiz kuwajua ni kaziMh. Mtemvu amekosa nauli ya kwenda Chato kweli????
Acha kabisa mkuuMsiba juu ya msiba, yule baba wa hile familia nimekosa majibu, mtu kukumbwa na msiba wa kupoteza members of ur family [emoji128] ni jambo sio rahisi, ni ngumu kuubeba msiba huu na unahitaji kifua kwa kweli hasa muda kama huu usiku unapoingia kulala, pale unapobaki peke yako na mawazo yako na kutafakari yaliyokutokea
Wapo waliokiona kifo kabisa na kurudi katika hali ya kujitambua wakikusimulia utaogopaKabisa nadhani huwa kuna nguvu fulani. Natamani hata kujua walikua wanajisikiaje but who to tell a tale
Mwanamke hakuwa mwerevu, uwezi kurupuka na watoto wadogo wakaangalie maiti, wengine ni watu wazima ila hatunaga shobo na maiti hata kidg, unaaga pakiwa na ulazima sasa yeye akili hana atakua mswahili huyo...Nimejikuta na maswali mengi sana, hasa pale nilipowaza courage ya huyo mama kubeba watoto mpaka uwanja wa taifa, watoto wadogo ambao pengine hata hawawlewi maana ya msiba au maiti, ninewaza pia kuhusu mume ambae amewaruhusu watoto kupelekwa uwanja wa taifa kuaga mwili, watoto ambao bado ni wadogo na wangeweza kuangalia kwenye TV yukio zima
Nimewaza ile porpulation ya uwanja wa taifa, especially panapokua na shughuli za kitaifa
Tukijiukiza sana tutamkufuru Mungu ila tupate funzo kwa kila mmoja wetu, akina mama na akina baba, sio kila tukio lazima ubebane na watoto, the world is digitalized na unaweza kuangalia mitandaoni au kwenye TV , yale yanayokwepeka tuyakwepe, pia hata kama sio vifo ila tunawatesa hawa watoto na tunawaweka kwenye hatari tunapowapeleka sehemu zenye matukio ya namna hiyo tena mchanganyiko wa watu tofauti
Mungu awafariji wafiwa hasa Mume ambae amepoteza watoto na mke, lakini pia tuwaombee marehemu wapumzike kwa amani
duuuhWapo waliokiona kifo kabisa na kurudi katika hali ya kujitambua wakikusimulia utaogopa
Mmh Kila kitu mnawaza uchawiSio ujinga ndugu,hicho kifo sio cha kawaida kuna kitu kilikuwa kinamsukuma huyo mama aende huko tena na familia yote can u imagine?....muulize ndugu Mshana Jr sema hawez kuelezea hili anaogopa wanakijani watamvamiaa[emoji23]
Hujamuona Chato au Bonny kamroga?Poleni sana nasikia na mbunge wa ubungo ndo hivo tena hatunae.
Naomba niishie hapo tafadhali