Wanafki wote Duniani huumbuliwa kama Feitoto, hii ipo mpaka Marekani. Yanga ikibeba kombe kuna watu watakufa

Wanafki wote Duniani huumbuliwa kama Feitoto, hii ipo mpaka Marekani. Yanga ikibeba kombe kuna watu watakufa

Utashinda vipi kombe wakati muda wa kusajili ni huu na hamna la maana mnalofanya zaidi ya kuiombea Mabaya Yanga?

Mnachosahau Yanga tayari iko kamili INA kikosi bora wala hatuitaji usajiri mkubwa ni kufanya replacements ndogo tu kwenye mapungufu.
Sasa unaliaa nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani kasema?

Hibi unagikiri World Cup ingewezekana mimi kubeba kile kombe kama ningekuwa nashabikia timu moja?

Kushabikia timu moja ni too risk.

Home sina kombe ila Ulaya nina Karabao.

Huku Africa ndio niko Fainali unafikiri siwezi kutoka na Chochote?

Bado hapo fainali ya Man city na Inter.

Sio rahisi kutoka patupu
Km mie man city ananifurahishaa tyuuh
 
Hata mimi nakubali yanga watabeba kombe. Mechi itaisha Kwa USM Alger kushinda Goli 4 bila. Baada ya dakika tisini Refa atawaamuru yanga kwa kusema LIBEBENI HILO KOMBE MUWAPELEKEE WENYE NALO.........
 
EWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.


NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
 
Utopolo una makasiriko sana, sijui nani alikutuma uingie fainali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga kuleta kombe itakuwa ni sawa na mama samia leo hii aache urais eti aende chadema akagombee uenyekiti
 
Back
Top Bottom