Sasa unaliaa nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utashinda vipi kombe wakati muda wa kusajili ni huu na hamna la maana mnalofanya zaidi ya kuiombea Mabaya Yanga?
Mnachosahau Yanga tayari iko kamili INA kikosi bora wala hatuitaji usajiri mkubwa ni kufanya replacements ndogo tu kwenye mapungufu.
Km mie man city ananifurahishaa tyuuhNani kasema?
Hibi unagikiri World Cup ingewezekana mimi kubeba kile kombe kama ningekuwa nashabikia timu moja?
Kushabikia timu moja ni too risk.
Home sina kombe ila Ulaya nina Karabao.
Huku Africa ndio niko Fainali unafikiri siwezi kutoka na Chochote?
Bado hapo fainali ya Man city na Inter.
Sio rahisi kutoka patupu
Leo hazipungui goli 5 Diara ataokota hadi basiUtopolo una makasiriko sana, sijui nani alikutuma uingie fainali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]