Wanafunzi 10 bora kitaifa matokeo darasa la saba 2021

Du hiyo Tuibok ni noma aisee katika marlfu a shule ,una nafasi zote hizo ??
 
Twibhoko ni private au ya serikali
Yawezekana itakuwa ya serikali mkuu, kama ni mtu binafsi basi kaipa jina la ukoo wake, shule kuwa na jina la namna hiyo si atakosa wateja?.

👉🏾 Although nakumbuka miaka ya 1980 kurudi nyuma shule za ukanda wa ziwa zilikuwa zinaupiga mwingi hasa na wanafunzi walikuwa wanapiga kitabu kwelikweli asee!.

Vyuo vingi vilikuwa na vijana kutoka Mara, Bukoba na Mwanza.
 
Aisee Twibhoki ni kiboko imetoa watoto weng ktk top ten ninataman kujua ni ya private au serikal
 
ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Infact we were heading to a point of no return (total darkness)...
 
ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Hahahaaaa
 
Yaani nyie watu ni zero kabisa inakuwaje kila mada ikitajwa lazima muibuke na jina la magufuli.
ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
 
matokeo kwani yashatoka ya darasa la Saba Nchi nzima
 
Hongera kwake!. Kama kuna watu wako karibu na huyo T.O wa darasa la saba wampe guidance. Awekwe kwenye msingi mzuri
 
Subiri kidogo, hivi mbona kwenye list ya wanaofanya vizuri(top ten) level zote huwa ni majina ya ki kristo kuliko kiislam?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…