DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Subiri kidogo, hivi mbona kwenye list ya wanaofanya vizuri(top ten) level zote huwa ni majina ya ki kristo kuliko kiislam?!
Hata ukiangalia ma-TO wengi huwa wana majina ya ki kristo miaka yote kwa level zote za elimu