Subiri kidogo, hivi mbona kwenye list ya wanaofanya vizuri(top ten) level zote huwa ni majina ya ki kristo kuliko kiislam?!
Hata ukiangalia ma-TO wengi huwa wana majina ya ki kristo miaka yote kwa level zote za elimu
Hili swali muulize yule nanihii wenu mkuu,sisi hatujuiSubiri kidogo, hivi mbona kwenye list ya wanaofanya vizuri(top ten) level zote huwa ni majina ya ki kristo kuliko kiislam?!
shule ya 11 kitaifa umeiona lakin?Kipindi cha kuwabeba wanageita kimeisha kenge nyie !!!hakuna kubebwa tena !!! Endekeen kufuga fisi na chatu na kukwepa jando
Shule nane kati ya kumi bora zimetoka kanda ya ziwa wakiteuliwa mnasema wanapendelewa.ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
kwani uzao upi ni wa mwisho kabisaa, au huko duniani wameacha kuzaliana. Nipo sayari ya Mars muda huu hakuna la Saba ni Phds tu ndio wapo.Hivi kumbe kuna watu bado wapo darasa la saba?😳😳
Wengiiii tuuuuuuuuJe bado kuna watoto wanafeli darasa la saba? 😳
Acha usinichiiii😅😅😂😂😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂😍😂😅😅😂😂😅😍Hivi kumbe kuna watu bado wapo darasa la saba?😳😳
ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Shule nane kati ya kumi bora zimetoka kanda ya ziwa wakiteuliwa mnasema wanapendelewa.
Angekuwepo pia mngesema kanda pendwa imependelewa.
Hebu zipost tuzioneShule nane kati ya kumi bora zimetoka kanda ya ziwa wakiteuliwa mnasema wanapendelewa.
Angekuwepo pia mngesema kanda pendwa imependelewa.
Hata saivi mashuleni kwa kidato cha tano na sita utasikia madogo wanasema wanapigiwa namba na wasukumaYawezekana itakuwa ya serikali mkuu, kama ni mtu binafsi basi kaipa jina la ukoo wake, shule kuwa na jina la namna hiyo si atakosa wateja?.
👉🏾 Although nakumbuka miaka ya 1980 kurudi nyuma shule za ukanda wa ziwa zilikuwa zinaupiga mwingi hasa na wanafunzi walikuwa wanapiga kitabu kwelikweli asee!.
Vyuo vingi vilikuwa na vijana kutoka Mara, Bukoba na Mwanza.
Ni neno lenye asili ya kinata(lugha mojawapo mkoani Mara) lenye maan ya "Tumeamka" ya kwambia zamani wanamara kuhusu elimu walikuwa chini Sana,Ila kwa Sasa wameamkaTwibhoki maana ake nini?
Ni Private,inapatikana Mgumu-SerengetiTwibhoko ni private au ya serikali
Hajui kama kuna shule mbili zimetoka geita kumi bora.Tayari kuna mwingine huko keshazomoka eti angekuwepo mwanafunzi bora angetoka Wilaya yake? Namuuliza mbona tangu 2015 NECTA hawajawahi chomeka huyo mwanafunzi?