Wanafunzi 10 bora kitaifa matokeo darasa la saba 2021

ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Akili matope hizi. Mwache shujaa apumzike kwa amani.
 
Wako vizuri TWIBHOKI
 

Mh shule zooote wanafunzi 10 tu bora kitaifa
 
Mifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.
 
ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Binafisi mimi sio muumini wa hizi sijui wa kwanza kitaifa, hii ya kushindanisha shule ni kosa kubwa sana linalo fanywa na taasisi ya elimu.
 
Anne marie ni wezi wa mitihani NECTA ni wapuuzi wanapuuzia hii ishu

USSR
Hii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalika
 
Mifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.
sio mbaya kama wao ndio wameweza kukalilli vizuri hayo ma-pastpaper
ndio mfumo wetu ulivyo juu mpaka chini.
 
Mmeisha jiuliza kwa nini Kenya imefuta mitihani ya Taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…