🤣🤣🤣 hizi comment zinaongeza siku za kuishiingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
Du hiyo Tuibok ni noma aisee katika marlfu a shule ,una nafasi zote hizo ??
Hao ni kweli kabisaAnne marie ni wezi wa mitihani NECTA ni wapuuzi wanapuuzia hii ishu
USSR
I agree with you,Mifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.
Ni kweli hasa private lazima waibe mtihani Ili ikifaulisha ipate wateja wakutoshaHii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalika
Kipindi cha kuwabeba wanageita kimeisha kenge nyie !!!hakuna kubebwa tena !!! Endekeen kufuga fisi na chatu na kukwepa jando
Binafisi mimi sio muumini wa hizi sijui wa kwanza kitaifa, hii ya kushindanisha shule ni kosa kubwa sana linalo fanywa na taasisi ya elimu.
Hii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalika
Mjinga yeyote anaweza andika hayo uliyoandika.Mshaanza ujinga wenu
Na upumbavu wenu
Graiyaki na Twibhoki ni mtu mmoja na zinapakana.Twibhoki haipo kwenye top 10, Grayasara inaongoza lakini haina mwanafunzi hata mmoja kwenye top 10.......ngachoka mimi.
Miaka yote akiwa Madarakani mbona NECTA hawajawahi kuchomeka huyo mwanafunzi kutoka hiyo Wilaya....Uongo useme wewe aibu naona mimi.
Watu mna maneno dah?!!!.ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja wa shule ya kata kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
ugopa sana Mungu na teknolojia.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1992759View attachment 1992760
ugopa sana Mungu na teknolojia.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1992759View attachment 1992760
Kwani huwa yanatokaje mkuu?matokeo kwani yashatoka ya darasa la Saba Nchi nzima
Mwislamu ni mmoja
Mkuu,Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi St Anne Marie iliyopo mkoani Dar es Salaam, Eluleki Evaristo Haule kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani ya Darasa la Saba 2021.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi Oktoba 30, 2021 Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo sita waliyotahiniwa.
Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Happy Joseph Deus kutoka shule ya msingi Twibhoki ya Mkoa wa Mara na nafasi ya tatu ikienda kwa John Chacha Charles kutoka Twibhoki.
Aliyeshika nafasi ya nne ni Joshua Mahende Jacob kutoka shule ya msingi Twibhoki iliyopo Mara pia, Eva Sebastian Chengula kutoka shule ya msingi Fountain of Joy ya Dar es Salaam ameshika nafasi ya tano, Joctan Samwel Matara kutoka Twibhoki ameshika nafasi ya sita.
Barnaba Jumanne Magoto kutoka shule ya msingi Twibhoki ipo Mara ameshika nafasi ya saba, Rahma Ombi Juma kutoka shule ya Mtuki Highland iliyopo Dar es Salaam ameshika nafasi ya nane na nafasi ya tisa ni Juliana John Shimbala kutoka St Joseph’s nafasi ya kumi ameishika Jackline Manfredy kutoka shule ya Masaka iliyopo Dar es Salaam.