Wanafunzi 10 bora kitaifa matokeo darasa la saba 2021

ingekuwa enzi za utawala wa marehemu, ili wamfurahishe mtukufu, katika hao kumi bora waliofaulu, wangechomeka mmoja kutoka katika wilaya inayopatikana mkoa wa geita
🤣🤣🤣 hizi comment zinaongeza siku za kuishi
 
Du hiyo Tuibok ni noma aisee katika marlfu a shule ,una nafasi zote hizo ??

Lakini pia ina idadi ya Wanafunzi wachache sana ni 25 tu.So ukilinganisha na Shule kama Liberman iliyokuwa na wanafunzi zaidi ya 100 na 95 % wana Daraja la kwanza.Twibhoko inabebwa na uchache wa wanafunzi.
 
Mifumo ya kushindanisha watoto kwa mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, sisi tunaona ni fasion, hao watoto kinacho fanyika huwa ni kukaririshwa past paper mwaka mzima.
I agree with you,
 
Hii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalika
Ni kweli hasa private lazima waibe mtihani Ili ikifaulisha ipate wateja wakutosha
 
Kipindi cha kuwabeba wanageita kimeisha kenge nyie !!!hakuna kubebwa tena !!! Endekeen kufuga fisi na chatu na kukwepa jando

Kwa taarifa yako Geita ina shule mbili katika top 10! Endelea kula malimao ukate kichefu chefu maana ndiyo kwanza una mimba ya miezi miwili,mpaka ufikishe miezi 9 utakuwa umechoka sana.Mwanahizaya mkubwa uso kuwa na haya!
 
Binafisi mimi sio muumini wa hizi sijui wa kwanza kitaifa, hii ya kushindanisha shule ni kosa kubwa sana linalo fanywa na taasisi ya elimu.

Ulitaka wafanyeje ili kupima ubora wa Wanafunzi na shule zao?Mbona sehemu nyingi Duniani wanafanya hivyo,unadhani ni vigezo vipi vimetumika kurank Vyuo vikuu bora Duniani kama siyo kuvishindanisha? Havard,Yale, Oxford and the likes ziliwezaje kuwa katika Top ten ya Vyuo vikuu Bora Duniani?
 
Hii ya Tafuta wa kwanza kitaifa na wa mwisho ni kosa kubwa ambalo asilimia kubwa ya watu hawalioni hilo kosa.Janja janja zinakuwepo sana, wasimamizi kupewa Bahasha na kadhalika

Inaelekea una mtoto matokeo yake si mazuri wewe,siyo kwa makasiriko uliyonayo leo [emoji3][emoji3]
 
Twibhoki haipo kwenye top 10, Grayasara inaongoza lakini haina mwanafunzi hata mmoja kwenye top 10.......ngachoka mimi.
Twibhoki imeongoza kwenye shule zenye wanafunzi chini 40.afu pia naskia Twibhoki na Graiyaki ni ndugu..
 
Iwe inatangazwa shule iliyofanya vizuri kitaifa, na siyo mwanafunzi wa shule fulani aliyeongoza kitaifa. Nionavyo mimi shule ya kwanza kitaifa ni Tuibhok ya Mara kwa kwa kuwa ina wanafunzi wengi waliopata alama za juu.
 
Mkuu,
Hiyo Twibhoki ipo wilaya gani huko Mara?
Je, ni private au ya kata?
Ina boarding?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…