Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Vitoto vimekua malaya sana hivi siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni utaratibu wa kidunia sio kiuumbaji ndio sababu hata wakataa ndoa wanasexHapa ndio napojiulizaga na kukosa majibu .
KAMA SEX NI KWA AJILI YA WANANDOA NI KWA NINI TUNABALEHE NA KUVUNJA UNGO KABLA YA NDOA..??
Hiyo sheria sijui kanuni ipo siku nyingi toka awamu ya Nyerere mwanafunzi akipata ujauzito anafukuzwa shule isipokuwa miaka ya hivi karibuni wanaharakati hasa wale wanaotetea "haki" ya mtoto wa kike walikuwa wakitaka watoto wa kike wanaofukuzwa shule baada ya kupata ujauzito waruhusiwe kuendelea na masomo hata baada ya kujifungua ndiyo Magufuli alikataa hilo jambo kufanyika kipindi ambacho atakuwa madarakani kama walivyokataa viongozi wengine waliopita kabla yake lakini siyo yeye aliyeanzisha sheria/kanuni hiyo.Alianzisha nani?
Umeniwahi, nikitaka kusema kitu kama hiki. Binadamu ni kiumbe kimoja kinafiki sana!Laiti ingekuwa lindi na mtwara humu saivi musingekuwa munakalika ila haya yametokea huko kwa wapenda elimu
Nashukuru umemjibu vema huyu mlinda legacy asiye na ufahamu.Hiyo sheria sijui kanuni ipo siku nyingi toka awamu ya Nyerere mwanafunzi akipata ujauzito anafukuzwa shule isipokuwa miaka ya hivi karibuni wanaharakati hasa wale wanaotetea "haki" ya mtoto wa kike walikuwa wakitaka watoto wa kike wanaofukuzwa shule baada ya kupata ujauzito waruhusiwe kuendelea na masomo hata baada ya kujifungua ndiyo Magufuli alikataa hilo jambo kufanyika kipindi ambacho atakuwa madarakani kama walivyokataa viongozi wengine waliopita kabla yake lakini siyo yeye aliyeanzisha sheria/kanuni hiyo.
🤣🤣🤣🤣Magu alikua na uono wa mbali.
Yule mtu alikua genius.
Hivi kumbe wanafunzi wanaliwagwa, mimi najuaga ni mabikra wote 😂😂😂😂Mwanadamu ukimpa uhuru uliyopitiliza matokeo yake ndiyo haya.imagine mtoto wako katiwa mimba Ili baadaye akijifungua akuachie kijukuu na kurudi shuleni!!
Kwa sababu tumekubariana tuwape uhuru wa kubeba mimba na kurudi mashuleni ,naomba pia tuwape uhuru wa kutumia Kinga dhabiti wasibebe mimba .Kinga kama sindano na kijiti ni nzuri sana kwa watoto Hawa Ili angalau wasikatishe masomo kwa sababu ya kitiwa mimba .Lakini pia tuwape uhuru wa kumeza ARVs pindi wapatapo maambukizi ya ungonjwa utokanao na starehe
Hongera Kwa kuwaza hivyo.Hapa ndio napojiulizaga na kukosa majibu .
KAMA SEX NI KWA AJILI YA WANANDOA NI KWA NINI TUNABALEHE NA KUVUNJA UNGO KABLA YA NDOA..??
Sawa kibaraka wa mabeberu🤣🤣🤣🤣
Haya si mapenzi bali mahaba. Hongera lkn uwe unajifunza kufuatilia mambo ili usimzidishie mtu wala kumpunguzia.
Ttz binadamu anajifanya ana akili nyingi sana 😀Hapa ndio napojiulizaga na kukosa majibu .
KAMA SEX NI KWA AJILI YA WANANDOA NI KWA NINI TUNABALEHE NA KUVUNJA UNGO KABLA YA NDOA..??
Poa!!Sawa kibaraka wa mabeberu
Mwanadamu ukimpa uhuru uliyopitiliza matokeo yake ndiyo haya.imagine mtoto wako katiwa mimba Ili baadaye akijifungua akuachie kijukuu na kurudi shuleni!...