Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Amina68

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
298
Reaction score
547
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
 
Hao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua

Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
Thank you
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Haya wajisomeshe sasa🤣
 
Serikali haiajili wenye degree sa hv , private ndo kabisaa hawataki hata kuwaona hao degree taker .... Hao wazazi wajitafakar .... Bora waseme kama hawana hela ya chuo ijulikane , Ila kama Wana uwezo bas wawasikilize hao ma manzi...Kwa binti pia is too risk kuwa na mda mrefu darasani , chance ya kuzalishwa ni kubwa kama akiwa mrembo kama mtoa mada alaf , wanasoma H kunani au sayansi ... Mana hili nalo la mhimu
 
Serikali haiajili wenye degree sa hv , private ndo kabisaa hawataki hata kuwaona hao degree taker .... Hao wazazi wajitafakar .... Bora waseme kama hawana hela ya chuo ijulikane , Ila kama Wana uwezo bas wawasikilize hao ma manzi alaf , wanasoma H kunani au sayansi ... Mana hili nalo la mhimu
Kvp mkuu, ajira mpya wenye degree wengi sana mbna wameajiriwa ,hasa MD ninaowafaham wengi wameajiriwa.
 
Niunganishe nao natafuta mke.

I will take care of everything they want under one condition

Watazaa kwanza two kids then nitawasomesha
 
Back
Top Bottom