Amina68 pole sana kwa maswaibu ya wanafunzi wako , ndugu ni kweli ni haki ya kila mtu kufanya alitakalo hususani kwa hao mabinti maana ni umri wa wao kuwa na mawazo chanya na yenye utegemezi kwao ila sasa...
Ikiwa wazazi wao kweli wapo katika hivyo vyeo na pia ikumbukwe wametishia kusitisha malipo ya ada kwa watoto wao ikiwa hawapo tayari kubaki shule ya upili sasa ni hivi ...
Yawezekana tayari wana sehemu wamewaandalia kuwepo lakini pia ikiwa wanachohitaji kukisomea huko chuo hata baada ya shule ya upili wanaweza kukisoma , Nakushauri uwashauri ya kuwa zama zimebadilika si kuwa wakiwahi chuo basi ndiyo uhakika wa ajira ila inategemea na connections hivyo , waombe na kuwajuza kuwa embu wawasikilize wazazi wao na wabaki shuleni hapo , wakisoma kwa juhudi maana chochote chaweza kutokea huko mbeleni .
Ushauri tu .[emoji120][emoji120]
TEKERI