Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifuata upepo wa Serikali utakwama .mara iseme tunahitaji walimu wengi wa digrii wanasoma wakimaliza haya tuajirini wanasema tunaajiri certificate na diploma!!Serikali haiajili wenye degree sa hv , private ndo kabisaa hawataki hata kuwaona hao degree taker ....
Kwa kikubwa kumbe bora kusoma ukipendacho si ndio?Ukifuata upepo wa Serikali utakwama .mara iseme tunahitaji walimu wengi wa digrii wanasoma wakinaliza haya tuajitini wanasema tunaajiri certificate na diploma!!
Wewe soma usiangalie tu upepo wa Serikali kama digrii Tafuta ya kueleweka piga shule
Na ndio maana ,umetoka chuo hujui ulichokisomea hukoAfu watoto wa siku hizi uhuru umepitiliza😅😅😅 sisi selection zikitoka tu unaambiwa jiandae unaripoti hata kabla shule yenyewe hawajafungua 😅😅
Tuna safari ndefu ya kwenda
Madogo wengi siku hizi wanaenda kusoma diploma vyuo vya kati. Mfano hao wenye masomo ya sayansi huenda kusoma vyuo vya COTC na kuhitimu kama Medical Assistants.Wanataka kusoma diploma ya nini?
Hongera kwa kuaminika bila hivyo pengine wasingeweza kukuambia wanachokitaka.Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.
Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,
Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,
Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema
Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Thank you very much Don jully GREAT THINKERHongera kwa kuaminika bila hivyo pengine wasingeweza kukuambia wanachokitaka.
Una wajibu wa kuwapatia ufumbuzi aa mgogoro wa nafsi na mgogoro na wazazi wao na hivyo wasipopata utatuzi wa changamoto hizo unaweza kuwaathiri kwenye masomo yao au pengine kuchelewa kuenda sambamba na wengine.
Hebu kaa nao kwa wakati tofauti muulize kila mmoja. Kwanini anadhani kwenda chuo ni bora kuliko kuendelea kidato cha tano? Pili wanadhani kwankni wazazi wanawataka wasome kidato cha tano badala ya chuo?
Kupitia majibu yao utakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuwashauri njia sahihi na watakuelewa.
Kumekuwa na hiyo changamoto kwa vijana wengi sababu ya.
-Mob Psychology/peer groups.
-Kuharakia maisha ya anasa vyuoni.
-Uhuru kufanya watakayo.
Wakati unawashauri pia zingatia umri wao.
Kusomea MD kwa sifa ya Diploma ngumu kupataNa baada ya kupata hizo diploma, hupata vigezo vya kuingia chuo kusomea MD. Hivyo wanakuwa wameokoa muda kwa namna fulani.
Tate Mkuu ,Thank u bossMadogo wengi siku hizi wanaenda kusoma diploma vyuo vya kati. Mfano hao wenye masomo ya sayansi huenda kusoma vyuo vya COTC na kuhitimu kama Medical Assistants.
Na baada ya kupata hizo diploma, hupata vigezo vya kuingia chuo kusomea MD. Hivyo wanakuwa wameokoa muda kwa namna fulani, huku wakiwa tayari na CV ya mganga msaidizi.
Binafsi nimeshangaa kuna watoto fulani vichwa balaa huku niliko. Walipata Division One za single digit, halafu wamechaguliwa COTC! Na wameenda. So elimu ya A Level kwa sasa ni kupoteza tu muda.
Kua na adabu binti sawa. Tunacomment hapa kukufanyia hisani au unataka uzi udode ka ulivododa mpaka kuwa jitu la parttime . Tuliza hilo komwe kubwa ka baruti.Na ndio maana ,umetoka chuo hujui ulichokisomea huko
Pau MontannaKua na adabu binti sawa. Tunacomment hapa kukufanyia hisani au unataka uzi udode ka ulivododa mpaka kuwa jitu la parttime . Tuliza hilo komwe kubwa ka baruti.
Na uavhege uphaller
Every one is a GREATTHINKER Miss.Pau Montanna
Kuwa pale Part-time sio kwamba Sina cha kufanya, na ndio maana nimeomba GREAT THINKER wakoment