Madogo wengi siku hizi wanaenda kusoma diploma vyuo vya kati. Mfano hao wenye masomo ya sayansi huenda kusoma vyuo vya COTC na kuhitimu kama Medical Assistants.
Na baada ya kupata hizo diploma, hupata vigezo vya kuingia chuo kusomea MD. Hivyo wanakuwa wameokoa muda kwa namna fulani, huku wakiwa tayari na CV ya mganga msaidizi.
Binafsi nimeshangaa kuna watoto fulani vichwa balaa huku niliko. Walipata Division One za single digit, halafu wamechaguliwa COTC! Na wameenda. So elimu ya A Level kwa sasa ni kupoteza tu muda.