Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,047
- 3,912
Ukichaa wao ni nini unajua umuhimu WA chuo cha ufundii 5 na 6 inafaida gani ukimalizaJennifer na Caren ni vichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichaa wao ni nini unajua umuhimu WA chuo cha ufundii 5 na 6 inafaida gani ukimalizaJennifer na Caren ni vichaa
Sasa Serikali inawawahisha huko mavyuoni ili igundue nini.. Hii nchi kuna vitu vya hovyo sana.. yani watu wazima kabisa wanakaa kupanga makolokolo tuu... Na mishara wanalipwahizi ni akili za miaka 20 iliyopita, sahv kontena linazoa wote ata wenye degree tupo nao mtaan tuna dandia pikipiki za watu kupiga daywork😂😂😂😂😁😁
Huu uzi mbona kama wa kimchongo! Huyu baba komando, yule baba mlinzi crew ya Hangaya, so what!!??Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.
Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,
Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,
Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema
NB: Jenipher baba ake ni komando JW
Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya
MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16
Caren Ana Div I-14
Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Unaenda kusoma certificate ya procurement and supply au laws..Kwann wasifiti?
Watoto wapo vizuri sana, wanaupeo mkubwa na wanafikiria mbali sanaWanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.
Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,
Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,
Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema
NB: Jenipher baba ake ni komando JW
Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya
MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16
Caren Ana Div I-14
Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Kumbe ndo mnachokimbia! 😂😂😂What if wakifeli form 6
Mleta mada ni wa mchongo anakuja kujambisha huku.Huu uzi mbona kama wa kimchongo! Huyu baba komando, yule baba mlinzi crew ya Hangaya, so what!!??
Inawezekana hawawazi Bata, advance imekuwa sio muhimu, pia unaweza kujikuta umepoteza miaka yako 2 Bure tu.Hao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua
Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.
Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,
Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,
Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema
NB: Jenipher baba ake ni komando JW
Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya
MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16
Caren Ana Div I-14
Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERs.
Ushauri:Safari ya elimu ,inategemea mhusika unapenda njia ipi.Na njia zote ni nzuri tu na zinakubalika.Njia hizo Ni njia ya vyuo ,na pia njia ya form 5na 6.Kuna Ma Prof wengi tu duniani wamepita njia ya vyuo.Yaan certificate ,diploma na kwenda chuo kikuu.Kuna wengine wamepita form 5 na 6.Nikitoa mifano.Marehemu,Prof Basigwa Mweregu.Huyu alikuwa Mwalimu wa shule ya msingi.Akajiendeleza mpaka kuwa Prof.Ndugu mleta uzi.Naomba uwashauri wazazi wa hao watoto,wawasikilize watoto wao.Wazazi wamekuwa chanzo Cha kuharibu maisha ya vijana wao kwa sababu wengi wamekalili ,tu kuwa nilazima kusoma A level.Pia wanaosoma diploma za udaktari wanakuwa wazuri kuliko form six.AsanteAmina68 pole sana kwa maswaibu ya wanafunzi wako , ndugu ni kweli ni haki ya kila mtu kufanya alitakalo hususani kwa hao mabinti maana ni umri wa wao kuwa na mawazo chanya na yenye utegemezi kwao ila sasa...
Ikiwa wazazi wao kweli wapo katika hivyo vyeo na pia ikumbukwe wametishia kusitisha malipo ya ada kwa watoto wao ikiwa hawapo tayari kubaki shule ya upili sasa ni hivi ...
Yawezekana tayari wana sehemu wamewaandalia kuwepo lakini pia ikiwa wanachohitaji kukisomea huko chuo hata baada ya shule ya upili wanaweza kukisoma , Nakushauri uwashauri ya kuwa zama zimebadilika si kuwa wakiwahi chuo basi ndiyo uhakika wa ajira ila inategemea na connections hivyo , waombe na kuwajuza kuwa embu wawasikilize wazazi wao na wabaki shuleni hapo , wakisoma kwa juhudi maana chochote chaweza kutokea huko mbeleni .
Ushauri tu .[emoji120][emoji120]
TEKERI
Uyo kwa avatar ni ww?Every one is a GREATTHINKER Miss.
The matter of fact is uache kujibu wenzio shombo au unataka tukutumie team la ufundi likutie adabu eheee.?? Maana hatushindwi kitu sisi binadamu.
Take care limadam lisilo jielewa. Umenijibu vibaya sana na sijapenda. Tutaonana
Shule ya A level ni shule iliyochangamka kwelikweli, sijui kwa nini watu wanaichukulia poa. Kiukweli nikiona CV ya mtu ambaye hana A level, huwa naona huyu mtu anakosa kitu flan hivi.Kwa mwalimu wa chuo kikuu, ni rahisi sana kumfundisha mwanafunzi aliyepitia kidato cha sita, ukilinganisha na yule aliyetoka form four na kujiunga na kozi za Diploma.