Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Hao madogo wanakosea sana. They've got high flying marks. Siksi muhimu sana. Wangepiga siski halafu diploma waendelee na chuo.
 
Inategemea hiyo Diploma ni ya kitu gani maana miaka ya A level inaweza kuwa sawa na ya Diploma au isiwe.
 
wanataka kusomea nini uko diploma ni heri pia kama watasomea vyuo vilivyo bora kwasababu watakuwa mbele ya muda kwasababu wakifaulu pia digree wanapata so hakuna shida hapo ni kuongea na wazazi wao na kuwapa faida na hasara

binafsi napendekeza waende diploma kwa kozi inayoeleweka , ila hao kuna kitu wanakitafuta mapema utandawazi umewaathiri, wnapenda uhuru, wanamishe zao nyingine
 
Hawa watoto ndio ma great thnker wenyewe

Yani wameona wamepoteza miaka kibao kukaririshwa kinjekitile sasa wameona enough is enough hawataki tena kuendelea kupoteza muda wao

Wanataka wa rush faster kwenye ndoto zao

Ambao hamuwaelewi hao watoto nyie ndio vilaza

Elimu yetu ya kibwege sana, narudia ya kibwege sana
Wanaenda kusoma nini huko chuo ndugu yangu!??
 
wanataka kusomea nini uko diploma ni heri pia kama watasomea vyuo vilivyo bora kwasababu watakuwa mbele ya muda kwasababu wakifaulu pia digree wanapata so hakuna shida hapo ni kuongea na wazazi wao na kuwapa faida na hasara

binafsi napendekeza waende diploma kwa kozi inayoeleweka , ila hao kuna kitu wanakitafuta mapema utandawazi umewaathiri, wnapenda uhuru, wanamishe zao nyingine
Thanks much kwa ushauri
 
Unadhani masomo yote ya kukariri?

Mleta mada kasema.wamechaguliwa A level kusoma masomo ya sayansi siyo hayo ya kukariri ya kinjekitile ya HKL ,HGL na yenye historia ndani kwenye combination


Masomo ya sayansi huwezi kukariri lazima uelewe
Mkuu ngoja nikutoe tongotongo, hata hayo yanayoitwaa ya sayansi kiuhalisia ni historia ya sayansi sio sayansi kama unavyodhani

Watoto hawafundishwi kua ma archmedes bali wanafundishwa historia ya archmedes alivyofanya miaka hiyo

Sisemei huko sekondari tu, ninarafiki yangu alisoma mechanical engineering pale COet ila wakati anafanya field kwenye taasisi moja hapa jijini jamaa alikiri chuoni wanafundishwa makaratasi kwani jamaa wasioenda shule au walioishia madarasa ya chini walikua wanaelewa machines na mechanism zake walizofundishwa kwa uhalisia kitaani na veta na wao waliotoka vyuo vya uinjinia ndio walikua wanajifunza kutoka kwa hawa mabwana
 
Mkuu ngoja nikutoe tongotongo, hata hayo yanayoitwaa ya sayansi kiuhalisia ni historia ya sayansi sio sayansi kama unavyodhani

Watoto hawafundishwi kua ma archmedes bali wanafundishwa historia ya archmedes alivyofanya miaka hiyo

Sisemei huko sekondari tu, ninarafiki yangu alisoma mechanical engineering pale COet ila wakati anafanya field kwenye taasisi moja hapa jijini jamaa alikiri chuoni wanafundishwa makaratasi kwani jamaa wasioenda shule au walioishia madarasa ya chini walikua wanaelewa machines na mechanism zake walizofundishwa kwa uhalisia kitaani na veta na wao waliotoka vyuo vya uinjinia ndio walikua wanajifunza kutoka kwa hawa mabwana
Kwa hiyo we waona bora wakafanye wakaitakacho au wakafanye wasichokipenda?
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Hao vichwani hakuna kitu,mtoto wa kidato Cha Tano anashindwa kutatua ishu ndogo kama hiyo?hapo ni kwenda wizarani,wakienda chuo,watajisomeshaje?wanajua ada ya chuo?
Wapige six,au waende wizarani,
Mi nilipanga na kuchagua mkondo wa masomo nitakayosoma sekondsry,nikiwa darasa la SITA!
Nilipanga nisome sayansi,niwe muhandisi nikiwa darasa la saba!!
 
Chuo watu hawasomi??
Kuna tatizo gani katika bata na uhuru wa chuo??
Hao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua

Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
 
Serikali isiwapangie watoto vyuo baada ya kidato cha nne!?? Ndo shida tunazoziona hapa..

Hao watoto wanafuata mkumbo tu..

College education is to be applied for and not selected...

Mimi binafsi serikali isije kuthubutu kumpamgia mwanangu maisha... Yani wewe unampeleka mwanangu akasome chuo nimekuomba!!!
 
Ushauri wa hovyo
Kama kila mtu angekua anafanya kile anachotaka na apendacho duniani hapa kusingetosha.

Waambie waache kulazimisha vitu Nature inajua wapi panawafaa ndio Maana hawakuweza kuchaguliwa chuo. So waebdelee hukohuko maisha/Nature yalipowachagua waende. Wakilazimisha wakubali kupokea matokeo huko mbeleni.

Life is Fair because it is unfair
 
Tujitahidi kuhama enzi za ujima, dunia imebedailika sana tuende na kasi yake ya mabadiliko. Tusiishi kwa kukariri
Afu watoto wa siku hizi uhuru umepitiliza[emoji28][emoji28][emoji28] sisi selection zikitoka tu unaambiwa jiandae unaripoti hata kabla shule yenyewe hawajafungua [emoji28][emoji28]

Tuna safari ndefu ya kwenda
 
Hao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua

Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
Kabisa kabisa...
 
Mtoto wako sio mfano halisi wa watoto wengi wa Kitanzania ambao Cardiff wataisoma tu mtandaoni bila kujali wameenda form 6 au chuo baada ya kidato cha nne.
Mwanangu alikuja na wazo kama hilo alipomaliza o level na nikamkatalia.

1. Kwanza nilimwambia mfumo wa kawaida wa nchi ni kusoma hadi form six ndipo uanze degree na kwa Kuwa lengo ni kupata degree ukimaliza diploma ya miaka 3 ni rahisi ukienda A Level kisha degree kuliko kupitia diploma

2. Pili chuo kuna uhuru ambao akienda kabla ya kufika 18 utamchanya na kumuharibia future kama asipokuwa makini

Alichukua ushauri wangu kwa sasa yuko 1st year Cardiff University UK. Wenzake walienda DIT Diploma ndio wako 3rd year na wakitoka hapo waanze degree. Wastage of time
 
Back
Top Bottom