MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,760
Hawa watoto ndio ma great thnker wenyewe
Yani wameona wamepoteza miaka kibao kukaririshwa kinjekitile sasa wameona enough is enough hawataki tena kuendelea kupoteza muda wao
Wanataka wa rush faster kwenye ndoto zao
Ambao hamuwaelewi hao watoto nyie ndio vilaza
Elimu yetu ya kibwege sana, narudia ya kibwege sana
Yani wameona wamepoteza miaka kibao kukaririshwa kinjekitile sasa wameona enough is enough hawataki tena kuendelea kupoteza muda wao
Wanataka wa rush faster kwenye ndoto zao
Ambao hamuwaelewi hao watoto nyie ndio vilaza
Elimu yetu ya kibwege sana, narudia ya kibwege sana