Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Kwa mwalimu wa chuo kikuu, ni rahisi sana kumfundisha mwanafunzi aliyepitia kidato cha sita, ukilinganisha na yule aliyetoka form four na kujiunga na kozi za Diploma.
😂😂😂😂 sasa wanatafta urahis kwa kakufunzi sio!?
Jamaa zangu tuliomaliza nao diploma wakaunga degree wananiambia mengi ni marudio hasa mwaka wa kwanza sasa hapo lazma iwe ngumu kwenye ufundishaji maana kuna vitu unamfundisha anavijua had na reference anazo
 
Kusomea MD kwa sifa ya Diploma ngumu kupata

Wenye diploma wanaoenda kujiunga na digrii unawamulika kwa torch MD ina ushindani sio mchezo Waliopitia Diploma wengi hawapenyi
Anatakiwa kufaulu sio utani huyo mwenye diploma
Wengi huishia huko huko kwenye diploma

Kupenya sayansi advance ni rahisi?
 
Mwanangu alikuja na wazo kama hilo alipomaliza o level na nikamkatalia.

1. Kwanza nilimwambia mfumo wa kawaida wa nchi ni kusoma hadi form six ndipo uanze degree na kwa Kuwa lengo ni kupata degree ukimaliza diploma ya miaka 3 ni rahisi ukienda A Level kisha degree kuliko kupitia diploma

2. Pili chuo kuna uhuru ambao akienda kabla ya kufika 18 utamchanya na kumuharibia future kama asipokuwa makini

Alichukua ushauri wangu kwa sasa yuko 1st year Cardiff University UK. Wenzake walienda DIT Diploma ndio wako 3rd year na wakitoka hapo waanze degree. Wastage of time

Wakitoka hapo waanze degree ya nini sasa?

Wapige kazi degree zenyewe ni waste of time
 
Chuo wanapanga kusomea nini? Tuanzie hapo kwanza ,maana kozi nyingine ni vyema kupitia A .
Ukijibiwa ni tag!!?

Nina lundo la visichana vimerudi mtaani viko kama vikichaakichaa..

Vilienda vyuo baada ya kidato cha nne...sijui mipango...sheria..procurement...maji...ifm...na takataka nyingine nyiingii..

Vipo mtaani kazi yao sasa ni kuhudhuria sherehe kucheza singeli na misibani.
Kuna mahali serikali inakosea sana.. chuo laxima kiende maturity ya mtoto. Wengi wanapomaliza form four wanakuwa 17 years, kumpeleka mtoto kama huyu chuo ni kumkatili.

Chuo mtu anakuwa treated as an adult, hakuna sheria kali za malezi ukilinganisha na A level, hivyo basi vitoto vingi huishia kubung'aabung'aa tu na vinakuwa victims vya ngono zembe. Kwani ni vitoto ushamba umevijaa na havina akili.

USHAURI KWA SERIKALI...
Maana hili ni la serikali na haiepuki lawama.. ni vyema watoto waende hivi vyuo baada ya A level..na msiwapangie wazazi.. acheni mzazi apange na mwanae na si kuwaamuru kupitia selection.

Na vyuo vingi mnavyowapeleka hao watoto ni vya hovyoo,havina msaada wowote.
 
ni kweli ila kuna watoto ni vichomi dada, kapangwa shule nzuri tu ila lenyewe akili sijui zinakua wapi matokeo ndo wazazi huenda na mfumo wa kidicteta ili mambo yaende

Personally , nashukuru huu mfumo and I never regret a thing.
unfortunately anaesoma ni mtoto ukitumia ubabe unaweza jikuta unampotezea ile hali ya kupenda achokisomea na mwisho wa siku kuwa chanzo cha kufanya vibaya
 
unfortunately anaesoma ni mtoto ukitumia ubabe unaweza jikuta unampotezea ile hali ya kupenda achokisomea na mwisho wa siku kuwa chanzo cha kufanya vibaya
Aah okay dada
 
Ukijibiwa ni tag!!?

Nina lundo la visichana vimerudi mtaani viko kama vikichaakichaa..

Vilienda vyuo baada ya kidato cha nne...sijui mipango...sheria..procurement...maji...ifm...na takataka nyingine nyiingii..

Vipo mtaani kazi yao sasa ni kuhudhuri tu sherehe kucheza singeli na misibani.
Kuna mahali serikali inakosea sana.. chuo laxima kiende maturity ya mtoto. Wengi wanapomaliza form four wanakuwa 17 years, kumpeleka mtoto kama huyu chuo ni kumkatili.

Chuo mtu anakuwa treated as an adult, hakuna sheria kali za malezi ukilinganisha na A level, hivyo basi vitoto vingi huishia kubung'aabung'aa tu na vinakuwa victims vya ngono zembe. Kwani ni vitoto ushamba umevijaa na havina akili.

USHAURI KWA SERIKALI...
Maana hili ni la serikali na haiepuki lawama.. ni vyema watoto waende hivi vyuo baada ya A level..na msiwapangie wazazi.. acheni mzazi alange na mwanae na si kuwaamuru kupitia selection.

Na vyuo vingi mnavyowapeleka hai watoto ni vya hovyoo,havina msaada wowote.

Waliomaliza degree wapo mtaani wanafanya nini?
 
Ningekua mzazi wa mmoja wa mabinti hawa ,ningemsikiza binti yangu nini anataka kufanya kwa future YAKE sio yangu, if she decide to go college nisingemzuia kabisa na pia hii form 5&6 ni upotezaji muda na vidatu hivi having maana yeyote, student animalistic matric na amefaulu aende University straight, na pia mtoa hoja was totally unnecessary kututajia kazi za wazazi wao hawa mabinti, umeingilia privacy yao..shame on you
 
Ukijibiwa ni tag!!?

Nina lundo la visichana vimerudi mtaani viko kama vikichaakichaa..

Vilienda vyuo baada ya kidato cha nne...sijui mipango...sheria..procurement...maji...ifm...na takataka nyingine nyiingii..

Vipo mtaani kazi yao sasa ni kuhudhuria sherehe kucheza singeli na misibani.
Kuna mahali serikali inakosea sana.. chuo laxima kiende maturity ya mtoto. Wengi wanapomaliza form four wanakuwa 17 years, kumpeleka mtoto kama huyu chuo ni kumkatili.

Chuo mtu anakuwa treated as an adult, hakuna sheria kali za malezi ukilinganisha na A level, hivyo basi vitoto vingi huishia kubung'aabung'aa tu na vinakuwa victims vya ngono zembe. Kwani ni vitoto ushamba umevijaa na havina akili.

USHAURI KWA SERIKALI...
Maana hili ni la serikali na haiepuki lawama.. ni vyema watoto waende hivi vyuo baada ya A level..na msiwapangie wazazi.. acheni mzazi apange na mwanae na si kuwaamuru kupitia selection.

Na vyuo vingi mnavyowapeleka hao watoto ni vya hovyoo,havina msaada wowote.
hizi ni akili za miaka 20 iliyopita, sahv kontena linazoa wote ata wenye degree tupo nao mtaan tuna dandia pikipiki za watu kupiga daywork😂😂😂😂😁😁
 
Waliomaliza degree wapo mtaani wanafanya nini?
Atleast they followed the right path! With mental and physical maturity. Acheni kubaka watoto... Maana hawa form four wanaoenda chuo hakuna tofauti na ubakaji tu wa kifikra...

Na wengi wanakuja shtuka baadae that they had their time wasted...wanajikuta they dont fit anywhere as per the ed. level.
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzo cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Hawa watoto wasilete ujinga tunahitaji wana sayansi wengi serikali sio wajinga kuwapeleka huko
 
Atleast they followed the right path! With mental and physical maturity. Acheni kubaka watoto... Maana hawa form four wanaoenda chuo hakuna tofauti na ubakaji tu wa kifikra...

Na wengi wanakuja shtuka baadae that they had their time wasted...wanajikuta they dont fit anywhere as per the ed. level.
Kwann wasifiti?
 
Back
Top Bottom