Deni kubwa maji toka Moruwasa limesababisha shule ya sekondari Morogoro kukosa maji. Kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakitumia maji ya kisima kilichochimbwa na taasisi moja ya kiiislam, yenye maji chumvi ambayo hutumika hata Kwa kunywa.
RAS Morogoro amuru moja toka Moruwasa litatue tazizo hili kwa muda. Huenda afisa elimu na mkuu wa shule hawajakujuza kwa sababu zao binafsi.
Taarifa toka kwa mzazi aliyearifiwa na mwanae.
RAS Morogoro amuru moja toka Moruwasa litatue tazizo hili kwa muda. Huenda afisa elimu na mkuu wa shule hawajakujuza kwa sababu zao binafsi.
Taarifa toka kwa mzazi aliyearifiwa na mwanae.