Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aibu sanaAisee. Kweli nchi inaelekea kubaya.Tumefikia hatua ya rais kuongozana na wagawa viatu?
Ni kawaida isiyo kawaida. Ni jambo la kushangaza nchi imejaa umaskini namna hii halafu viongozi wanasafiri kwa kutumia economy class na kutumbua maraha.Mbona huko Lindi na Mtwara ni kawaida wanafunzi kuwa pekupeku!
Wanapenda kutembea peku ama hawana viatu?Mbona huko Lindi na Mtwara ni kawaida wanafunzi kuwa pekupeku!
Rushwa, ubadhilifu, Ubinafsi na anasa za roho mbaya zinaliangamiza Taifa!Ni kawaida isiyo kawaida. Ni jambo la kushangaza nchi imejaa umaskini namna hii halafu viongozi wanasafiri kwa kutumia economy class na kutumbua maraha.
Halafu ndio huko wabunge wanapita bila kupingwa !Mbona huko Lindi na Mtwara ni kawaida wanafunzi kuwa pekupeku!
Halafu wapo wanaong'ang'ana kuwa wanaweza kumbe wanatufelisha.Ndio maana hata mbao za majivu za kujifunzia udongoni,bila hata ya mkeka achilia madawati ni msamiati mgumu bado kwa wanafunzi wengi achilia mbali wazazi wao waliosomea madarasani enzi ya mkoloni, mjerumani na mwingereza.Mbona huko Lindi na Mtwara ni kawaida wanafunzi kuwa pekupeku!
Baada ya maisha ya duniani,kuni bora kabisa motoni ni anayejiita kiongozi wa Afrika.ππππ€Έπ€Έπ€Έπ€π€π€πππRushwa, ubadhilifu, Ubinafsi na anasa za roho mbaya zinaliangamiza Taifa!
wanasafiri kwa kutumia business class.
Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .
Ndio maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
View attachment 2753744
View attachment 2753745
Vipi chadema na kofia zao na t-shirt zao nyekundu au ndo nyani haoni.....CCM ina maslahi na umasikini wa Watanzania ili kampeni zikikaribia waweze kuhonga khanga viatu nk.
Kwa mtazamo wako siyo?Hoja nyepesi sana hii nyie chadema
Wanapitishwa bila kupingwa wadumishe umaskini kwa maslahi yao,na kujiongezea nafasi ya kuwa kuni bora za kuwaingiza baada ya maisha ya duniani.π€Halafu ndio huko wabunge wanapita bila kupingwa !
Wala hatukusema ni nzitoHoja nyepesi sana hii nyie chadema