Kilunguru
JF-Expert Member
- Feb 2, 2023
- 416
- 544
🤣🤣🤣 Hapo nikuwaomba wajumbe wa Tume ya Mwakyembe wakatuombee paper moja ya aliyefeli tuone je! Ujibuji wake maswali unaonyesha alijiandaa na mtihani au Ni ujanja ujanja tu.Tungeipata ingekuwa poa sana