Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hakika upo ushahidi wa kutosha jinsi graduates wengi wa vyuo ni vilaza kwa miaka kama 10 ya hivi karibuni, kuna tatizo kubwa mahali katika mfumo wetu wa elimu.
Omba uone karatasi moja iliyojibiwa na mtahiniwa aliyefeli unaweza ona ameshindwa hata kudefine constitutional amendment
"Tusiingize siasa kwenye Elimu"