Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania

Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania

Kwamba?

".. ata kuandika barua za kiofisi awezi .."

Mkuu nimeishia kusoma hapo.

Wewe uko na shahada gani mjomba?
Sio maneno yangu hiyo clip tafuta mkutano wa Magufuli na wafanyabiashara yupo mmoja kutoka Mtwara alikuwa akitoa hayo malalamiko.

Degree yangu ni jack of all trade hizo za social science ata sijui wanafeli vipi, personal nipe module tu nakuandikia report au nipe topic nakuandikia thesis yoyote ya social science au masomo ya biashara. Otherwise official qualification zangu ni accountant.
 
Sawa kama ni ujinga mtupu ila uhalisia unaonekana kwenye matokeo ya lawschool, mi naongea nachokiona sio nachosimulia, uzuri wake nimepitia chuo kikuu kimoja kikubwa hapa so najua nachokiandika

Kwa hiyo uliyepitia chuo kikubwa ni wewe tu peke yako hapa duniani? Hata uchaguzi wa maneno ya kutumia hakukufikirishi? Wewe ni wa kuhurumia.

Habari ndiyo hiyo.
 
Kumbe haijadiliwi hoja inajadiliwa CV?
Embu nijiondoe kwenye huu uzi...

Kinacho jadiliwa hoja. Heshima kwao wenye CV zao kama kina Prof. Mahalu.

Sasa ninyi wengine bila CV wekeni mawazo siyo kulazimisha mambo.

Tokea vijiweni uhalali muupate wapi kuwaita msiowajua kuwa ni vilaza? Kwa ukipanga upi mlio nao ninyi?
 
Sio maneno yangu hiyo clip tafuta mkutano wa Magufuli na wafanyabiashara yupo mmoja kutoka Mtwara alikuwa akitoa hayo malalamiko.

Degree yangu ni jack of all trade hizo za social science ata sijui wanafeli vipi, personal nipe module tu nakuandikia report au nipe topic nakuandikia thesis yoyote ya social science au masomo ya biashara. Otherwise official qualification zangu ni accountant.


".. ata kuandika barua za kiofisi awezi .."

Uko vizuri komaa hapo hapo.
 
Wapandishe viwango vya vigezo vya kuingilia law school.
 
usiwadanganye wenzio waambie wakaze buti. Hao 3% waliofaulu walipendelewa? walifundishwa na walimu tofauti? walifanya mitihani tofauti? walisoma vitabu tofauti?
usifananishe mitihani ya kazi na mitihani ya kutoka kidato kimoja kwenda kingine mjomba.

Usikilizwe wewe au wasikilizwe wasomi nguli wenye CV zao?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Hujihurumii ndugu?
 
Tulipiga kelele kuhusu Tume yenye Mwenyekiti Mwakyembe kuwa siyo mahali penye integrity ya kutukuka ya kutupatia majibu wakati kunao watu taifa hili linalowaheshimu kutokana na kazi zao. Ni muda muafaka tuwe na namna ya kufanya vetting kama taifa kwenye mambo muhimu kama haya. Wakina Professor Shivji, Chris Peter, majaji wastaafu wakina Robert Makaramba, Professor Ruangisa, akiwemo jaji Mkuu Mstaafu Sumata na wengine wengi other than how ma serial wenyeviti wa Tume zisizo na tija, wangeweza kutusaidia kupata ufumbuzi wa jambo hili maana kwa sisi tusio wana sheria lakini watu wenye akili timamu tunachokiona ni kuwa waliofeli ni wote, wanafunzi wa Law school, walimu wao, na mfumo mzima wa law school ni 'failure' ab initial. Hili ndio tatizo llingine na kukosekana kwa agenda za kitaifa hata kwa waathirika. Wakati wa mwaka jana walipokumbwa na madhili, hawa wa mwaka huu walikaa kimya. Yote ni yote, hii ni kashfa nyingine kubwa kwa taifa, na hasa tasnia muhimu kama hii. Nashingaa hata wanasheria wenyewe ikiwemo TLS wamefunga midomo.
 
Wengi wa wanafunzi wanaosoma LST ni first class material.

Wapandishe vigezo wavipate wapi juu ya first class?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Walimu hapo walikuwa ni kufurushwa tu. Hawana lolote.

Chuo hapa nchini ni LST peke yake?
Akili yako Bado Iko chini saana wewe bodabodaa, umewahifuatilia upatikanaji wa first class wewe? Kwani mtu akipata first class degree ya kwanza ndio sababu HAWEZI kushindwa mbeleeeniii?? Ulisikia wapiii weeeweee. Hakuna watu wenye viburi kama hao wanaojiita wanafurst class, kwanza ata darasani hawaingiii, kiburi na dharau na kujiamini kuliko pitiliza vimewajaaaa, kudharau wakufunzi ndo usisemeee, concentration darasani hawana kabisa, hawaaambiliki, kisa eti wanajua Kila kituu.

Kikubwa waaambiwe, pamoja na ufaulu wa first class WAJUE wanapoenda kusoma level nyingine waweke nidhamu. Vinginevyoo first class sio suluhisho la kushinda masomo
 
".. ata kuandika barua za kiofisi awezi .."

Uko vizuri komaa hapo hapo.
Kama hiko ndio kipimo chako cha uelewa sioni ajabu ya wewe kutetea vilaza wenzako.

Hakuna kitu special kwenye hilo neno (it’s common knowledge).

Alikadhalika huko kwenye mitihani utapewa scenario onyesha ‘actus reus’ uwezi, failure simple as that.

Upimwi kwa kuandika bali uelewa wako wa kuelezea concept husika given the scenario, kinachofuata defence uwezi utoboi mjomba.
 
Tulipiga kelele kuhusu Tume yenye Mwenyekiti Mwakyembe kuwa siyo mahali penye integrity ya kutukuka ya kutupatia majibu wakati kunao watu taifa hili linalowaheshimu kutokana na kazi zao. Ni muda muafaka tuwe na namna ya kufanya vetting kama taifa kwenye mambo muhimu kama haya. Wakina Professor Shivji, Chris Peter, majaji wastaafu wakina Robert Makaramba, Professor Ruangisa, akiwemo jaji Mkuu Mstaafu Sumata na wengine wengi other than how ma serial wenyeviti wa Tume zisizo na tija, wangeweza kutusaidia kupata ufumbuzi wa jambo hili maana kwa sisi tusio wana sheria lakini watu wenye akili timamu tunachokiona ni kuwa waliofeli ni wote, wanafunzi wa Law school, walimu wao, na mfumo mzima wa law school ni 'failure' ab initial. Hili ndio tatizo llingine na kukosekana kwa agenda za kitaifa hata kwa waathirika. Wakati wa mwaka jana walipokumbwa na madhili, hawa wa mwaka huu walikaa kimya. Yote ni yote, hii ni kashfa nyingine kubwa kwa taifa, na hasa tasnia muhimu kama hii. Nashingaa hata wanasheria wenyewe ikiwemo TLS wamefunga midomo.
Kwani mpaka waje hao maprofesa uliwataja, kwani hao waliofaulu wamefundishwa na akina naniii, kikubwa suala la kufeli sio la kuundia tume, kikubwa tuwabane wanafunzi wajitume na WAJUE kilichowapeleka shuleniii. Halafu sio lazima kwenye mtihani mfaulu wote, inawezekana kabisa mkafeli wote au wachache wakafaulu au wakafeli. Sawaa?
 
Wenye akili za kuwaza bodabodaa, kama wewe utawezaje kuzingumzia taaluma mahili kama sheriaa, wewe si ufikirie kupakiza mishikaki tuuu. Samahani kupoteza mda najibizana na wewe bodabodaa.
Wewe utaweza kuzungumzia Sheria kuliko kina Prof. Mahalu, Shivji au Binamungu?

Kujimwambafy huko bila shaka kutakuwa ni kutokea kijiwe cha bodaboda fulani.

Huoni hivyo ndugu?
 
Wewe utaweza kuzungumzia Sheria kuliko kina Prof. Mahalu, Shivji au Binamungu?

Kujimwambafy huko bila shaka kutakuwa ni kutokea kijiwe cha bodaboda fulani.

Huoni hivyo ndugu?
Unawakana boda wenzakoo, ebu kwenda ukooo, najuta kujibizana na anayewaza bodabodaa.
 
Kwani mpaka waje hao maprofesa uliwataja, kwani hao waliofaulu wamefundishwa na akina naniii, kikubwa suala la kufeli sio la kuundia tume, kikubwa tuwabane wanafunzi wajitume na WAJUE kilichowapeleka shuleniii. Halafu sio lazima kwenye mtihani mfaulu wote, inawezekana kabisa mkafeli wote au wachache wakafaulu au wakafeli. Sawaa?

Maprofesa nguli Mahalu, Binamungu na wengi wengine hawakubaliani nawe. Kwa maana halisi kuwa reasoning yako haina mashiko. Bado umeshupaza shingo mjomba? Kwamba wewe na fake ID ndiyo uko na mawazo bora zaidi? Ona japo aibu basi ndugu?
 
Unawakana boda wenzakoo, ebu kwenda ukooo, najuta kujibizana na anayewaza bodabodaa.
Bodaboda ni wenzako. Taja majina ya wenzako tuone.

Nimekutajia ninao wanukuu wore maprofesa wa Sheria. Wa kwako hata wa dawa za kienyeji yuko wapi mbuzi wewe?
 
Omba uone karatasi moja iliyojibiwa na mtahiniwa aliyefeli unaweza ona ameshindwa hata kudefine constitutional amendment
"Tusiingize siasa kwenye Elimu"
Ningependekeza walimu wao kutahiniwa na mitihani wao wenyewe na wakasahihishwa kama wanafunzi anonymously. Usishangae wasingeshinda pia.
 
Back
Top Bottom