Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania

Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania

Kuna muda mwanafunzi anapofeli na mwalimu naye anapaswa ajitathimini kiukweli kwenye ufundishaji wake kama kweli anaeleweka
Na mwanafunzi na yeye aitathmini, kama mwalimu haeleweki vipi kuhusu vitabu anavyosoma navyo havieleweki?
 
Bodaboda ni wenzako. Taja majina ya wenzako tuone.

Nimekutajia ninao wanukuu wore maprofesa wa Sheria. Wa kwako hata wa dawa za kienyeji yuko wapi mbuzi wewe?
Hovyo kabisaa, siongei na mtu anayeongelea bodabodaa.
 
Hovyo kabisaa, siongei na mtu anayeongelea bodabodaa.

Huna unacho nukuu kutokea kokote. Unasikia profesa Shivji, Mahalu, Binamungu nk Unadhani ni boda boda wenzio hao?

Boda boda unaleta mawazo yako kuhusu elimu ya juu? Kwa hakika haya ni Tanzania tu!

Bakini na mawazo uchwara yenu vijiweni kwenu huko.

Hayahitajiki huku!
 
Huna unacho nukuu kutokea kokote. Unasikia profesa Shivji, Mahalu, Binamungu nk Unadhani ni boda boda wenzio hao?

Boda boda unaleta mawazo yako kuhusu elimu ya juu? Kwa hakika haya ni Tanzania tu!

Bakini na mawazo uchwara yenu vijiweni kwenu huko.

Hayahitajiki huku!
Unafikilia ubodaboda halafu napoteza mda kujadili na mtu mwenye mawazo ya bodabodaa
 
Unafikilia ubodaboda halafu napoteza mda kujadili na mtu mwenye mawazo ya bodabodaa

Komaa na SunLG ndugu. Maprofesa wa sheria wanatambua tatizo ni LST kama chuo ila wewe, na bado hujishangai. Tukuiteje wewe?
 
Ila hii inchi balaa, anaetunga sheria ajue kusoma na kuandika tu hahaha

Halafu mijitu iko inakenua. Tunayo safari ndefu sana bado. Na katika wakenuaji hao ati kuwa na wenye kudai katiba mpya kina Yonda wamo. Katiba ipi wanataka watu kama hawa?

Bure kabisa.
 
Tulipiga kelele kuhusu Tume yenye Mwenyekiti Mwakyembe kuwa siyo mahali penye integrity ya kutukuka ya kutupatia majibu wakati kunao watu taifa hili linalowaheshimu kutokana na kazi zao. Ni muda muafaka tuwe na namna ya kufanya vetting kama taifa kwenye mambo muhimu kama haya. Wakina Professor Shivji, Chris Peter, majaji wastaafu wakina Robert Makaramba, Professor Ruangisa, akiwemo jaji Mkuu Mstaafu Sumata na wengine wengi other than how ma serial wenyeviti wa Tume zisizo na tija, wangeweza kutusaidia kupata ufumbuzi wa jambo hili maana kwa sisi tusio wana sheria lakini watu wenye akili timamu tunachokiona ni kuwa waliofeli ni wote, wanafunzi wa Law school, walimu wao, na mfumo mzima wa law school ni 'failure' ab initial. Hili ndio tatizo llingine na kukosekana kwa agenda za kitaifa hata kwa waathirika. Wakati wa mwaka jana walipokumbwa na madhili, hawa wa mwaka huu walikaa kimya. Yote ni yote, hii ni kashfa nyingine kubwa kwa taifa, na hasa tasnia muhimu kama hii. Nashingaa hata wanasheria wenyewe ikiwemo TLS wamefunga midomo.

Mkuu umeandika mambo ya msingi sana kwa wenye aki zao. Bahati mbaya ni kuwa kama nchi ni kama kumechanganyikiwa.

Tatizo kubwa zaidi liko hapa:

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."

Humo kuna kina Yonda, Ujamaa ni muhimu na ya nna hiyo.

Ndiyo maana mwenye ufumbuzi ni wanafunzi walioko LST.

Ikumbukwe majaji walipotaka kufanya uchunguzi wao huru walichepushwa.

Wanafunzi msiposimama kujipapambania wenyewe subirini kusomea kufeli.

Habari ndiyo hiyo.
 
Sio ajabu hao wanafunzi kufeli law school, kuna wimbi kubwa la wanafunzi wanaomaliza vyuo siku za karibuni wakiwa vilaza sana hadi unashindwa kuelewa walimalizaje degree na kufaulu hata kwa pass.

Mawazo duni kabisa. Unafundisha chuo gani ndugu kuja kauli hollow kama hii?

Kwamba elimu ya mwaka 47 ilikuwa bora zaidi kuliko ya leo siyo?
 
ACHA KUPOTOSHA TATIZO LA LAW SCHOOL NI WANAFUNZI NA MITAALA YA VYUO WALIVYOTOKA VYUO VIPO KIBIASHARA ZAIDI KULIKO KITAALUMA VYUO VINACHUKUA WANAFUNZI WA UFAULU MDOGO ILI MRADI ALIPE ADA
TUME YA MWAKYEMBE ILIWEKA WAZI KILA KITU WANAFUNZI NI VIHIYO LUGHA INASUMBUA
WAMEZOEA KUFAULU KWA KUNUNUA MITIHANI NA HONGO KTK VYUO VITU HIVYO HAVIPO LAW SCHOOL
Tena wanafunzi ni vihiyo kweli kweli! Najua ninachokisema. Haonewi mtu pale.
 
This is so true, wahitimu wa vyuo ni Tatizo na sio waalimu wa law school.

🤣🤣

Screenshot_20230426-175116.jpg


Ninakazia:

Screenshot_20230426-175116.jpg
 
Walimu wao wanasema tofauti isipokuwa wewe machimboni nyarugusu huko?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kwamba wewe uko vizuri.

Kwa hakika ni Tanzania tu.
Ripoti ya Mwakyembe inasemaje? Tuanzie hapo. Tusifanye politics kwenye taaluma. Sasa mtu anaenda out of point maswali yote apewe tu maksi za Bure kisa kelele... smartphone zimeshaharibu elimu ya juu. Mwanafumzi wa Sheria hajui hata jina la AG huyo ni mwanafunzi au? ila mwulize Irene uwoya atakupa details zote. Acha waendelee kupigwa kwenye mshono!
 
Unaonekena kila mahali.
Ila hapo juu ndio umeonekana kama kilele (top), crystal clear.

Ndipo utambue tuna taifa la namna gani. Kuna wanakenua wakiwalaumu wanafunzi kwamba hao wanapigania katiba mpya.

By the way huu ni wito Kwa wanafunzi wenyewe kusimama imara.

Wito huu unawahusu nini wenye kukenua, wivu, husuda, choyo, ujuaji uliopitiliza nk kwenye wasioyajua au hata kuwahusu?
 
Hali ya vyuoni utaijua wewe kuliko walimu wao?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kulikoni kujihesabia haki hivyo kapuku wewe?
Wewe una kitu gani cha kujivunia?
Unadharau watu wakati hujafanya jambo lolote la kutisha katika hii nchi.
Nani asiyefahamu kuwa wahitimu wa sasa wengi wao huwa wanazima moto mitihani yao?
Nani asiyefahamu kuwa wahitimu wachache tu wa siku hizi ndo wako vizuri sana na wengi wametawaliwa na kutaka attention mitandaoni badala ya kusoma?
Kwanza una GPA ya ngapi wewe unayewadharau watu?
 
Back
Top Bottom