🤣🤣🤣 Hapo nikuwaomba wajumbe wa Tume ya Mwakyembe wakatuombee paper moja ya aliyefeli tuone je! Ujibuji wake maswali unaonyesha alijiandaa na mtihani au Ni ujanja ujanja tu.Tungeipata ingekuwa poa sana
Ninachotaka kusema ni kuwa kwa wale services Man ambao wanakwenda kusoma law school wakiwa kazini ni vyema wakaomba hata likizo kwa waajiri wao ili wapate muda mrefu wa kusoma na kujiandaa.
Sio rahisi kusoma ukitokea kazini (evening program) na ukafauru masomo magumu kama hayo ya shule ya sheria.
Kuna chuo niliwahi kupata nje ya Nchi kwa fani ya Masters Degree in Structural engineering two years Online, nilikataa kusoma.
Siwezi kusoma fani kama hiyo Online, lazima nitafeli. Hivyo kujiepusha kufeli nikaomba ni cancel mpango wa kusoma Mwaka huo.
Point yangu ni kuwa huenda Wanafunzi wanakosa muda wa kujiandaa kutokana na kuwa busy na mambo ya kazi n.k hivyo muda pamoja na Utulivu wanakosa.
Wacha kupotosha tatizo la law school.ACHA KUPOTOSHA TATIZO LA LAW SCHOOL NI WANAFUNZI NA MITAALA YA VYUO WALIVYOTOKA VYUO VIPO KIBIASHARA ZAIDI KULIKO KITAALUMA VYUO VINACHUKUA WANAFUNZI WA UFAULU MDOGO ILI MRADI ALIPE ADA
TUME YA MWAKYEMBE ILIWEKA WAZI KILA KITU WANAFUNZI NI VIHIYO LUGHA INASUMBUA
WAMEZOEA KUFAULU KWA KUNUNUA MITIHANI NA HONGO KTK VYUO VITU HIVYO HAVIPO LAW SCHOOL
UPO sahihi mkuu tatizo kubwa ni watu wanashindwa kutofautisha Vyuo na Law schoolMkuu, suala la Wanafunzi kupinga lingekuwa lina mashiko iwapo katika Watahiniwa wote kama ni 800 basi asiwepo hata mmoja aliyefauru.
Lakini watahiniwa 800 alafu unakuta kuna wenzio kadhaa 23 wamefauru, hii iwe kama ni alert [emoji3544] kwa Watahiniwa kuongeza bidii ya kujifunza wawapo Law School.
Changamoto ninayo iona, kuna uwezekano Wanafunzi wanakuwa busy na utafutaji/ kazi na kukosa muda wa kujisomea.
Nina uhakika zaidi ya 57 hadi 70 ya Wanafunzi wa law school ni in service
Ila tuache unafiki wanafunzi wengi wa shule na vyuo vyetu,kiingereza ni kipengere🤣🤣🤣 Hapo nikuwaomba wajumbe wa Tume ya Mwakyembe wakatuombee paper moja ya aliyefeli tuone je! Ujibuji wake maswali unaonyesha alijiandaa na mtihani au Ni ujanja ujanja tu.
kufeli kupo real mzee na hapo ipo moja tu bongo nzima hapo ndo utajua vyuo vingi ni vya mchongo..Wengi wako kwenye mfumo gani ndugu? Mnazipata wapi takwimu hizi Ili kumpotosha nani?
Zaidi ya 90% ya wanafunzi wote Law School ni fresh from universities.
Tuacheni wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza dhidi ya wengine.
Wakili msomi Pascal Mayalla say something....Shule zinaposhindana ubora kwa kufaulisha, kwa nini Law School wao wanajinasibu ubora kwa kufelisha?
Wanafunzi VihiyoKuna watu wamejaa ujinga kichwani wanao tetea hawa waalimu kwa akili ya kawaida watu 800+ wafaulu 23 Tu na kusiwe na tatizo
We nae ni bure ujui kama ili uchaguliwe Law school sifa moja wapo ni lazima kuna course wame orodhesha pale lazima uwe ume soma .na course zote sio chuo kinacho jichaguliwa ni TCU ndo wana direct kwaiyo kazi ya chuo ni kupanga ratiba yake tu, lakini course lazima zisomwe sio kwamba kila chuo kina course zakeACHA KUPOTOSHA TATIZO LA LAW SCHOOL NI WANAFUNZI NA MITAALA YA VYUO WALIVYOTOKA VYUO VIPO KIBIASHARA ZAIDI KULIKO KITAALUMA VYUO VINACHUKUA WANAFUNZI WA UFAULU MDOGO ILI MRADI ALIPE ADA
TUME YA MWAKYEMBE ILIWEKA WAZI KILA KITU WANAFUNZI NI VIHIYO LUGHA INASUMBUA
WAMEZOEA KUFAULU KWA KUNUNUA MITIHANI NA HONGO KTK VYUO VITU HIVYO HAVIPO LAW SCHOOL
Vilaza wanalazimisha kufaulu.
Endelea kuwapotosha tu vijana kuwa malalamiko yatafidia wajibu wao wa kusoma.Mbona hampeleki watoto kusoma shule wanakofeli?
Mbona shule bora ni zinazofaulisha hata wakapewa zawadi walimu Kwa wanafunzi?
Tuacheni wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza dhidi ya wengine.
uMEANDIKA MADINI MATUPU, SHIDA YA WAPUUZI WA SO CALLED WALMU WA LAW SCHOOL NI KUWA TUSIWE WENGI! bLADIFAKEN BASTARD SO CALLED WALIMU., hAWA VIJANA WAJITOLEE KUFA KWA AJILI YA VIZAZI VIJAVYO.Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza.
Omba uone karatasi moja iliyojibiwa na mtahiniwa aliyefeli unaweza ona ameshindwa hata kudefine constitutional amendment
"Tusiingize siasa kwenye Elimu"
Kabisa MkuuUPO sahihi mkuu tatizo kubwa ni watu wanashindwa kutofautisha Vyuo na Law school
Ufaulu wa ujanja ujanja wa Vyuo haupo Law school
Law School ipo kitaaluma zaidi kuliko Vyuo
Uki ref. Report ya Dr. Mwakyembe anasema viwango vya kudahili kwenye law vimepungua... kwahyo syo maneno yangu mkuu🤣Kwa hiyo unakubaliana huko undergraduate wanatoa takataka sio?
Uki ref. Report ya Dr. Mwakyembe anasema viwango(alama za kuchuwa watu wasome law) vya kudahili kwenye law vimepungua... kwahyo syo maneno yangu mkuu🤣
Mimi sio mwanasheria ila miaka mingi iliyopita wakati law school inaanza kuna mtu mwanasheria aliwahi niambia kuwa kuna Jaji mmoja (jina linahifadhiwa) alisikika akisema kuwa: ' Tumepanua sana kutoa degree zs sheria wakati market haiko prepared kuwachukua wote hao hivyo lazima tutafute namna ya kuwadhibiti"Mkuu, suala la Wanafunzi kupinga lingekuwa lina mashiko iwapo katika Watahiniwa wote kama ni 800 basi asiwepo hata mmoja aliyefauru.
Lakini watahiniwa 800 alafu unakuta kuna wenzio kadhaa 23 wamefauru, hii iwe kama ni alert ⚠️ kwa Watahiniwa kuongeza bidii ya kujifunza wawapo Law School.
Changamoto ninayo iona, kuna uwezekano Wanafunzi wanakuwa busy na utafutaji/ kazi na kukosa muda wa kujisomea.
Nina uhakika zaidi ya 57% hadi 70% ya Wanafunzi wa law school ni in service