Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa wadaiwa kuingilia Mfumo na kuonekana kama Wamelipa Ada

hongereni sana Wanafunzi mumeonesha kua masomo mnayosoma yanaingia vizuri.

hebu tusaidie kumuhack aliyeleta tozo mumuache empty kabisa
 
Kuna degree kibao za kudukuliwa
 
Hakuna Gap kubwa kati ya wanachofundishwa na wanachofanya. Good work.
 
Huyu Jamaa wa Avatar ya gunia la mkaa hapo chini anatutisha
Mkuu una avatar 2?

Iweje mfahamu mtu atakaye comment baada yako?

Namaanisha mtu anayekufuatia kucomment anakuwa chini ya scrow, wewe unayesoma mada zake lazina awe juu yako, sasa huyo wa chini umemuonaje?
 
Mkuu una avatar 2?

Iweje mfahamu mtu atakaye comment baada yako?

Namaanisha mtu anayekufuatia kucomment anakuwa chini ya scrow, wewe unayesoma mada zake lazina awe juu yako, sasa huyo wa chini umemuonaje?
Inawezekana Mkuu mbona tumia browser
 
Hakuna hacker hapo
Wanafunzi hupewa mchongo na watu wa ndan mtu anatoa labda laki 5 kwa risiti ya mill 1.5
 
Kizazi cha kwanza Cha Hackers kwa Tanzania ,

Niwapongeze waendelee hivyo hivyo , ifikie mahali hata hizi hela za benki na kodi wazile
Sio kizazi cha kwanza Tanzania wala sio kizazi cha mwisho kali linux atakupa maelezo vizuri
 
Na mimi nimejiuliza sana sabab if ukilipa benk lazima payment ireflect kwenye bank statement so wakati wa bank reconciliation end of month ingeonekana waz imelipwa bank na na haikuingia kwenye bank account so kungekuwa na pending reconciling transactions nying sana ambapo head of finance lazima angeshtuka kuwa kuna kitu kinaendelea. Hii issue ni syndicate na inahusisha na watu wa finance wa hapo chuoni. If UDSM ilifanyika mpaka ikafika 3B basi idara ya fedha ya UDSM ilikuwa na wahasibu wa ajabu sana.
 
Wa ajabu vipi wakati wao ndo wezi
 
Saaaafi sana, nasema safi sana... Hiyo ndio application ya elimu waliyoipata. Hamuoni wachina wanatengeneza iphone fake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…