Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Wahalifu tu haoUkiona hivyo ujue wanayofundishwa wanaelewa kwa vitendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahalifu tu haoUkiona hivyo ujue wanayofundishwa wanaelewa kwa vitendo.
Kuweza kutegua mifumo ya kiteknolojia ni muhimu kwa wabobezi wa IT; hujawahi kujiuliza wanatumia teknolojia ipi ku-block mawasiliano kwenye eneo fulani?Halafu eti chuo hichi kitoe wasomi waje watawale kwa uadilifu?
Tunataabika sana kwa wasomi wa aina hii
Hawana wajualo zaidi ya kuiba tu.
Tunataka elimu sahihi sasa
Hapo wana wazoom tu ila watu watafutiwaa matokeo hapoo...[emoji3][emoji3][emoji3]Kwamba wamepewa muda walipe!? Kwa upande wangu mimi naona wamefanya kosa la jinai na uhujumu uchumi hivyo walipaswa kufukuzwa chuo na kushitakiwa mahakamani. Kitendo cha kughushi hadi mihuri ya benki, sio jambo dogo hata kidogo.
Wanajisumbua kwani rekodi za bank zitapitia kwani hii ni special caseAH, thubutu
hapa sawa
Hata hivyo ni zaidi ya wachoma cd tu.Si huwa wanawasema it wetu wa bongo ninwachoma Cd...🤣🤣
😂😂😂😂Kizazi cha kwanza Cha Hackers kwa Tanzania ,
Niwapongeze waendelee hivyo hivyo , ifikie mahali hata hizi hela za benki na kodi wazile
Watu wanapiga mabilioni ya tozo + kodi pale bandarini kitambo.Kizazi cha kwanza Cha Hackers kwa Tanzania ,
Niwapongeze waendelee hivyo hivyo , ifikie mahali hata hizi hela za benki na kodi wazile
Watu wanapiga mabilioni ya tozo + kodi pale bandarini kitambo.
Naunga mkono hojaKizazi cha kwanza Cha Hackers kwa Tanzania ,
Niwapongeze waendelee hivyo hivyo , ifikie mahali hata hizi hela za benki na kodi wazile
Maana ya kwenda shule na kuelimika ni kwa kujiuliza kuwa inakuwaje mfumo wa malipo ya ushuru,forodha na kodi pale bandarini unakuwa haufanyu kazi mara kwa mara!!???Umejuaje haya mambo! Utakuwa mmojawapo upo kwenye mfumo!
Double standards!!! Hao ni wezi. WashtakiweAfadhali hawa wameonyesha uwezo wao
AhahahahaDouble standards!!! Hao ni wezi. Washtakiwe
Wanasubiri walipe kwanza, baada ya hapo kibano kitafuatiaKwamba wamepewa muda walipe!? Kwa upande wangu mimi naona wamefanya kosa la jinai na uhujumu uchumi hivyo walipaswa kufukuzwa chuo na kushitakiwa mahakamani. Kitendo cha kughushi hadi mihuri ya benki, sio jambo dogo hata kidogo.