Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Sisi waisilamu tutapeleka watoto wetu kusoma hapo tu sababu kodi yetu inaenda hapo kila mwaka muhimu ada tu sio sura yako na msalaba wako shingoni
Hakuna pesa ya serikali inaenda chuo chochote cha binafsi kiwe chuo cha kiislamu au cha kikristo au kisicho cha kidini

Waislamu ndio pekoe walipewa chuo kikuu bure na serikali chuo kikuu cha Morogoro Muslim University ambacho zamani kikikuwa chuoncha TANESCO pamoja na kupewa bure wanaendesha kwa misingi ya kiislamu utafikiri wao ndio walijenga
 
Utasikia wagalatia wakristo wanakunya bila kuchamba wale na wanawake madarasani wasichana wanaanika matiti wazi kwenye visidiria vya wazi mbele ya makomputa yanayowafunza mambo ya kommputa hawaonei haya hata hao makomputa(wanadhani makomputa ni watu wanaume).Utasikia waislamu wenzao wanaitikia Takbiriiiiiiiii

Ikifika shule na vyuo wanakimbilia kwa wagalatia kusoma . Dini ya kiislamu ni ze commedy

Mtu akinitukana akiniambia una akili kama muislamu nitapigana naye hadi alfajiri kanionaje?Loo
Kweli akili huna unge kuwa na akili ukaabudu sanamu?unge kuwa na akili ukasifia mali za kanisa hali yakuwa huna manufaa na hizo hosipitali wala shule we si bwege tu 1
 
kanuni ni moja when you are in rome live like romans. hutaki jikatae. tatizo letu waislam sisi tukiwa kwao tunataka yetu yafuatwe, ila wao wakija kwetu tunawakataza wasifuate yao. akili gani hizi?
ukikuta watu wana taratibu zao ama uzifuate au ujikatae. mbona simple tu.
Kwani wewe muisilamu?
 
Waislam hamna tabia ya kuwekeza kwenye jamii,sio shule wala hospitali. Mnajua kujenga misikiti tu basi. Hata mkiomba misaada kutoka kwa wafadhili uarabuni ni kwa ajili ya ujenzi wa madrasa na misikiti,elimu dunia sio kipaumbele chenu.
Waislamu wabahili sana washukuru wafadhili unakuta msikiti umejengwa kulipia tu Luku ya umeme wa msikiti shida hawachangii
 
Dressing code sio universal,kila jamii zina taratibu zao za mavazi japo pia siku hizi tunaiga na za wengine. Hata hiyo hijab ilikua ni matamanio

Unaanzaje kuwaweka wakristo wote kwenye group moja? Hao ni wakatoliki na taratibu zao,hata nyie waislam mna sects kibao . Sunnis zipo kubwa nne na ndogo ndogo nyingi tu, Shias hivyo hivyo. Wakatoliki hawawakilishi wakristo wote .
Kujistiri sio kidini zipo hata jamii wanajistiri ,sio lazima kwenu ila ukweli utabaki huwezi kujifanya kwamba unaheshimu dini za wengine ilhali unakataza mavazi ya kujistiri ,kitu ambacho hakina impact kweny maisha yako.
 
Kweli akili huna unge kuwa na akili ukaabudu sanamu?unge kuwa na akili ukasifia mali za kanisa hali yakuwa huna manufaa na hizo hosipitali wala shule we si bwege tu 1
Tuna manufaa nazo watoto wanasoma huko sio zenu hizo zinazoongizwa na maustaadhi ambao sifa ya kuwa mwalimu uwe umekariri aya kadhaa za kuruani kwa wingi kichwani sio masomo husika
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo

Ila wee jamaa unachuki mbaya sana kwa waislamu, sijui tulikufanya nini! Hivi ni wewe tu au na ndugu zako pia mpo hivyo!
 
Dressing code sio universal,kila jamii zina taratibu zao za mavazi japo pia siku hizi tunaiga na za wengine. Hata hiyo hijab ilikua ni matamanio

Unaanzaje kuwaweka wakristo wote kwenye group moja? Hao ni wakatoliki na taratibu zao,hata nyie waislam mna sects kibao . Sunnis zipo kubwa nne na ndogo ndogo nyingi tu, Shias hivyo hivyo. Wakatoliki hawawakilishi wakristo wote .
Wewe na katoliki tofaoti yenu nini?nyote mnamuabudu yesu alie uwawa na wayahudi kisha akatundikwa msalabani huyo ndie mungu wenu na hiyo ndio nguzo kuu katika ukirito
 
Waislamu wabahili sana washukuru wafadhili unakuta msikiti umejengwa kulipia tu Luku ya umeme wa msikiti shida hawachangii
Nimeona sana TV Imaan wanaweka namna ya luku ya msikiti fulani kuomba watazamaji wachangie😂😂,huwa najiuliza je waumini wa huo msikiti wanashindwa kununua umeme kweli?
 
Wewe na katoliki tofaoti yenu nini?nyote mnamuabudu yesu alie uwawa na wayahudi kisha akatundikwa msalabani huyo ndie mungu wenu na hiyo ndio nguzo kuu katika ukirito
So what kama wote tunamwabudu Yesu? Shias hawamfuati Mohamed? Mbona wasunni mnawakataa kwamba wale sio waislam? Nyie kama nani?
 
Kitabu chao kinawakataza kuwa na urafiki na wakristo na wayahudi,shida huwa hawakisomi zaidi ya kukaririshwa tu.
Kusoma kwe shule ya mkirito ni sawa na kwenda dukani kununua sukari hapo kinacho waunganisha ni hela tu sio urafiki bila shaka unjui nini maana ya neno rafiki
 
Hujui kwamba wazungu wana Silim kwa wingi kimkakati? Changamoto ambazo ukristo unapitia soon zitaanza na kwenu pia. Ishu sio kiongozi kasema nini bali maandiko yanasemaje? Biblia imekataza ushoga period.
Hakuna kiongozi yoyote duniani wa kikirito anae soma biblia na kuifuata huo ndio ukweli,mafundisho mengi ni ya kutunga tu ukihoji unatimuliwa kanisani [emoji14]
 
Kusoma kwe shule ya mkirito ni sawa na kwenda dukani kununua sukari hapo kinacho waunganisha ni hela tu sio urafiki bila shaka unjui nini maana ya neno rafiki
Sijakuelewa una maanisha nini,maandiko yenu yanawakataza kufanya urafiki na sisi wakristo kwa sababu ni watu wabaya,wa motoni.Hakuna chuki dhidi ya uislamu bali the other way around.
 
Wakasome kwenye vyuo vyao.... msituchoshe na kulia lia kama yatima
 
Waislam hamna tabia ya kuwekeza kwenye jamii,sio shule wala hospitali. Mnajua kujenga misikiti tu basi. Hata mkiomba misaada kutoka kwa wafadhili uarabuni ni kwa ajili ya ujenzi wa madrasa na misikiti,elimu dunia sio kipaumbele chenu.
Wewe umewekeza nini katika jamii inayo kuzunguka?

Au unasifia mashule na viuo vilivyo jengwa kwa jina la kanisa hili vijipatie matilioni ya pesa kutoka serikalini huo ni unyoyoji kama ndio hivyo bora tusijenge fatilia uone makanisa yanapewa sh ngapi kila mwaka na serikali hakuna mkirito hata 1 ambae hata cheo kanisani anae faidika na mali ya kanisa labda kusifia tu na kusema waisilamu awawekezi kwenye jamii sisi hatuna utapeli kama makanisa heti mme wekaza wizi mtupu
 
Ila wee jamaa unachuki mbaya sana kwa waislamu, sijui tulikufanya nini! Hivi ni wewe tu au na ndugu zako pia mpo hivyo!
huwa mnajiona nyie ni watu maalum kuliko wengine, kila sehemu mnataka mtambuliwe nyie kwanza.
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Acha udini..kwahiyo kanisa ndio linaruhusu wanawake watembee uchi/nusu uchi?
 
Hakuna pesa ya serikali inaenda chuo chochote cha binafsi kiwe chuo cha kiislamu au cha kikristo au kisicho cha kidini

Waislamu ndio pekoe walipewa chuo kikuu bure na serikali chuo kikuu cha Morogoro Muslim University ambacho zamani kikikuwa chuoncha TANESCO pamoja na kupewa bure wanaendesha kwa misingi ya kiislamu utafikiri wao ndio walijenga
Wewe ujui lolote bwana nenda Kalala huko juzi hapa kwenye mjadala wa uwekezaji wa bandari unajua shoo alisemaje kuhusu ruzuku inayotoka serikalini kwenda makanisani hili kuendesha miradi hiyo?

Ulivyo kuwa bwege kupewa jengo la mrogoro unaona serikali ya mkapa ilifanya jambo kubwa sana unafahamu mkataba ulisainiwa wakuhusu ruzuku kutoka serikalini kwenda makanisani au unaota
 
Back
Top Bottom