Wewe kwa akili yako finyu unafikiri wasiovaa baibui na ushungi hawajajistiri, poor you.Kujistiri sio kidini zipo hata jamii wanajistiri ,sio lazima kwenu ila ukweli utabaki huwezi kujifanya kwamba unaheshimu dini za wengine ilhali unakataza mavazi ya kujistiri ,kitu ambacho hakina impact kweny maisha yako.
Well fanya research yako kama nimeandika uongo ๐,maana hata Quran inaithibitisha Biblia na Tora ya wayahudi.Una ujualo kuhusu qur,aan
Ukiwashauri hivi wanakuambia unauchukia uislam kumbe ndiyo best option kwa mujibu wa imani yao,hiyo imani kwa wenye nayo siyo wa kukaa pamoja na wasioamini na hizi vurugu zote duniani zinatokana na kanuni hii.Waislamu wanavyuo vingi sana Tanzania๐๐๐๐
Wakasome huko kwenye vyuo vyao, wasiteseke na vyuo vya makafiri๐๐๐๐
Ndio maana chuo kikisema hapa lazima hijabu hata mkristo avae hijabu kingine kikisema hapa hakuna hijabu mtu asilete za kuleta kwani hilo hijabu anavaa ana ubikira gani wakati alishabikiriwa huko vaa kiminiNaamini kila dini kuna wachafu na wasafi hata wewe unajuwa hilo, kikubwa kila mtu aheshimu Imani ya mwenzie.
Nikajaribu nilikuwa nao hapo arusha na zanzibar.Kajaribu na wewe kumtongoza ulete mrejesho Kama ni rahisi hivyo
Zamani ndio kulikuwa na hofu hiyoHuyo jamaa kaa naye mbali
Akisema Allah Akbar, kimbia huenda anataka kujilipua๐๐๐
Mbona mimi sijawahi kusikia harufu na kwa uzoefu wangu mabinti au niseme wanawakewa kiislamu ni wasafi sanaNa harufu tunasikia sisi pia.
Ukute kajifunikiza nguo material ya mpira weeee๐คฃ๐คฃ au ndio anayo matatu anarudia rudia
Huwezi kumpangia mtu jinsi ya kumlea mtoto wake, ndio maana utaona wengine wanawavalisha watoto wao vinguo vinavyobana, wengine wanawasuka nywele watoto wa kike na was kiume,wanawatoboawilimawili kwenye masikio, mbona hawaambiwi wawaache watoto wakueWatoto wasivalishwe, wasubiriwe wawe watu wazima waamue wenyewe, wanateseka sana.
Wanavaa star halafu baadae wanaenda kudanfaHabari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Amevaa yeye...wewe unawashwa nini?Uvae chu..pi ,suruali ,brazia,tshirt halafu hijab,unatembea na duka la nguo mwili,ni ushamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipingani na utaratibu wa chuo maana hata hao waislamu walijua kabisa wanaenda chuo cha kikristo wanapaswa kufuata sheria. Lakini shemela mfano wako huo umechochora....huwezi kulinganisha kitimoto na hijabuAjabu zaidi ni pale eneo la kanisa unataka uje manguo ya joto ambayo hayaendani kiimani, desturi na taratinu za eneo husika..!! Kwani wamezuiliwa kuvaa wakiwa wanaenda madrasa? Au kwani wamezuiliwa kuzivaa waendapo msikitini? Hivi wenzao wasio waislamu wanaosoma shule zenye mrengo wa kiislamu, wanaweza vumilia watu wakaja mesini na kitimoto?
Unaenda kuwanusa wa niniWananuka uvundo hadi kwenye nyuci na kusababisha kero kwa wengine
What's your point? Kwa sababu hawana bikra basi watembee uchi?
- Ukiwakagua hao wavaa majuba hawana hata bikra๐๐๐๐ halafu wanakuambia wanajistili. Sijui na nini
- Halafu cha kushangaza wanavidume vinawagonga (Boyfriend) halafu wanakuambia wanajistili๐๐๐๐
Acha kupangia watu mkuu maisha hayako hivyoUvae chu..pi ,suruali ,brazia,tshirt halafu hijab,unatembea na duka la nguo mwili,ni ushamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hata likiakisi joto kwenye mwili wake wewe unapata shida ya nini?Inamaana hujii kama linaakisi joto haswa? Kama wasingekuwa wanajipuliza yale marashi ya kiarabu wangekuwa wananuka sana kula eneo katika miili yao
Ulisha wahi kukagua ukakosa acha chuki hao ma boyfriend uliwaona nao๐
- Ukiwakagua hao wavaa majuba hawana hata bikra๐๐๐๐ halafu wanakuambia wanajistili. Sijui na nini
- Halafu cha kushangaza wanavidume vinawagonga (Boyfriend) halafu wanakuambia wanajistili๐๐๐๐
Ili kuwepo ipiUkweli upi? Hivi unajua kwamba mwaka huu Quran inatimiza miaka 100 toka ilipochapishwa na kutambulika rasmi kwa ajili ya waislam (Hafs version). Hii ilipitishwa na Al Azhar university chini ya mamlaka ya King Fuad wa misri,kabla ya mwaka 1924 haikuwepo hii Quran. Kama uliku hujui basi ujue.
Hizi kelele zote ni kwakuwa hapo umetajwa uislamMfano tu wa mada mezani,tuiweke hivi;
Mimi natokea mkoa X,kule kwetu mkoani kubandua tiles na kupanda miti au maua chumbani tunamolala ni kawaida,nimehamia mkoa ambao wewe una nyumba yako nakuja unanipangisha chumba na hapo jirani na kwako yupo mwenyeji wa kwetu tunaefanana tabia(kutoa tiles na kupanda mti au uwa ndani ya chumba),na wewe mwenye nyumba kwa kunijua kabisa kwamba mimi ni mkorofi linapokuja suala la kulinda itikadi yangu unanielekeza kabisa kwamba bwana huyo hapo jirani ni mwenzako nenda kapange kwake ndiye mtawezana!
Mimi nakwambia hapana hapa hapa kwako pananifaa(kumbuka umeshanipa mkataba wako unaosema siruhusiwi kuongeza au kupunguza chochote ndani ya chumba na nimesoma nikasema nimeelewa),mimi baada ya muda mfupi naenda serikali ya mtaa au JF kama hivi kukushtaki kwamba unaninyanyapaa hutaki kunipa uhuru wa kutoa tiles nipande uwa na mti ndani ya chumba nilichokwisha kukulipa kodi ili niishi itikadi yangu!
Unanionaje mkuu,hapo mimi nina akili timamu?maana mwenzangu ambaye ningewezana nae hata nipande mbuyu chumbani angenielewa ulishanionyesha na nikajua mpaka alipo lakini sikwenda leo ning'ang'ane kwako na mkataba kabla sijasain ulinipa nikausoma vizuri then leo yale uliyoyakataa mule nataka uyavunje kisa uielewe itikadi yangu,zipo jamii zinafanya mambo ya kijinga sana dunia hii inabidi zijitafakari hata kama wewe ni mmoja wao badilika.
Marashi yanazuia mtu kunuka.? Hata hao wasio jistiri wananuka khaswaa mtu anakaa na Rasta wiki mbili zigo hilo na hili joto maji hayapiti kwenye ngozi yake, kipi kina nafuuInamaana hujii kama linaakisi joto haswa? Kama wasingekuwa wanajipuliza yale marashi ya kiarabu wangekuwa wananuka sana kula eneo katika miili yao