Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
🤣🤣🤣🤣Watataka Chuo kiwaruhusu Majuba, Kisha watataka Wajengewe Msikiti hapo hapo Chuoni...Kisha watataka Ijumaa isiwe siku ya Masomo kisha watataka Wakati wa Mfungo Mchana Kusiwepo Chakula Chuo chote Kisubirie Futari! Watataka Mida ya Swala Masomo Yasimamishe....... watataka weee wataka weee.....Chuo Kizima wote wawe Waislam
Kama huo mkakati ulishindikana chuo Cha serikali, kwa chuo Cha kanisa utawezekana? Kikubwa wajue wamefata nn bas