Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mkuu hio sio hijabu ni vazi la kiyahudi kumbuka uyahudi upo kabla ya mudi kuanzisha uislam
Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake 😁😁😁wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.
Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale
Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab😅😅👇
View attachment 2919690