Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachokozi haoSasa kama uislamu unataka avae hivyo, akasome chuo cha uislamu, huku kwa MAKAFIRI mnatafuta nini?
kwenye vyuo vya kiislamu hamlazimishi wasio waislamu kuvaa hijabu? mbona kila mara nyie tu ndio mnaonewaNaona hasa chuki za waziwazi juu ya uislam.
Kufunika kichwa kwa mavaz yoyote yale jata hijabu ndio sheria za dini yao.Kwani hili ni hijab au ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati. Sidhani kama kuna uhusiano wa dini na tamaduni za mavazi.
Ndio maana nakuambia ukristo ni tamaduni za wazungu wala sio biblia .Nimekuambia ukristo sio sawa na uislamu ndugu.
Yesu alitahiliwa siku ya nane lakini huwezi kuta kanisa linasisitiza kutahili hizo ni tamaduni za wayahudi na sio kila kilichopo kwenye bible ni kinalenga watu wote zingine kuna mambo yanahusu tamaduni husika kuvaa, chakula nk, Yesu alifunga kula lakini huwezi kuta kanisa catholic linasisitiza kufunga kula bali kuacha matendo maovu
Tofauti ya ukristo na uislamu wakristo tunaamini tumeombolewa kwa neema na kufika mbinguni ni kwa neema na kupotia yesu kristo ninyi manaamini kufika mbinguni ni kwa jitihada zenu kufuata sheria, kufunga nk.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Ona sasa ulivyo mjinga, kanisa catholic Tanzania wana tamaduni zao ukitaka hiyo demokrasia nenda kanisa catholic Marekani huko nao wana demokrasia yao.
Na kujua biblia kwa mkriso sio lazima kama ninyi kukalili qurani.
Biblia sio gazeti au hadithi kama ilivyo kuran ndio maana unaambiwa soma biblia ukiwa na roho mtakatifu.
Mwanamke wa kiislamu kujistiri inasaidia nini.hasa? Nenda maeneo wanavaa hivyo maeneo ya mikoa ya Pwani kuanzia Tanga hadi mtwara malaya hatariMavazi ya wadada wa Kiislamu yanapendeza sana , mdada anaevaa kiislam kwa kujisitiri, huwa nina mheshimu sana na kumpa thamani halisi ya mwanamke.
Punguza hasira , wanawake wa kiislamu wanajiheshimu sna na wa stara na haiba ya kike then wanajua kupika , kwanini umepata hasira kwani nimeongea vibaya mkuu?[emoji12]Mwambie mama yako avae ili umoe hiyo heshima ya mwanamke
Kama uliona majini yake vaa nguo nyeusi basi wewe ni zaidi ya mchawi ingependeza kama ugetuwekea picha ya majini yalio vaa nguo nyeusiWazuiliwe tu hata ikiwezekana wapigwe marufuku kujifukiza bila kupenda jua lote hilo na miguo myeusi utadhani majini ya mayele!
Ufaransa walishapiga marufuku hiyo minguo
Kristo ni yesu(christ, the anointed one, messiah, saviour, liberator).Ndio maana nakuambia ukristo ni tamaduni za wazungu wala sio biblia .
Sasa hilo neno tu ukristo mmelitoa wapi?
Mfuasi wa yesu ni kufanya nn? Kuishi Maisha ya kristo wewe unafanya?Kristo ni yesu(christ, the anointed one, messiah, saviour, liberator).
Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu,
Wakristo ni wafuasi wa Yesu.
Mtu anakuja kwako, anakuta utamaduni wa kula mbuzi katoliki kwa miaka zaidi ya 20 , yeye anataka hata saani ulete mpya na usipike mbuzi katoliki? si aende kwa nduguze?Wachokozi hao
Acha kutaja vikundiWewe ndio mpumbavu mimi naongelea wacatholic na chuo cha kicatholic unaniletea habari za wapumbavu wenzio
Ndio maana watu wanapata shinikizo la damu kwa sababu ya chukiHizo ngou wanavaa wao ila joto unasikia wewe. Ajabu hii
Hata mimi sijaongea vibaya nimekuambia mwambie mama yako avae hivo umpe hiyo heshima ya mwanamke.Punguza hasira , wanawake wa kiislamu wanajiheshimu sna na wa stara na haiba ya kike then wanajua kupika , kwanini umepata hasira kwani nimeongea vibaya mkuu?[emoji12]