Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake 😁😁😁wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.

Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale

Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab😅😅👇
View attachment 2919690
Kwani hili ni hijab au ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati. Sidhani kama kuna uhusiano wa dini na tamaduni za mavazi.
 
Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake 😁😁😁wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.

Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale

Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab😅😅👇
View attachment 2919690
Mama Mariya,amependex
Stara ndo nini?
Stara ni alivyokuwa akivyaa mama Mariya,angalia picha zake.Mama Mariya,ndio mama wa Yesu.Waislamu huwa wanafuata Injili kwa vitendo,sio kusoma maandiko tu.
 
😅😅😅Umepanic dogo basi kufunika kichwa kweny ukristo ni amri seme hamtaki 😅.

Hili andiko linatoka wapi tena ni agano jipya 👇👇
1 Wakorintho 11:5

"Lakini kila mwanamke anayeomba au kuhubiri bila kufunika kichwa chake, anamdharau yeye mwenyewe, kwa maana ni sawa na kufinyilia nywele zake."

Mambo mengi mnaenda against Bible imekataza ushoga ,ile nyie mnaruhusu ,je mnafuata kitabu gani?
Nimekuambia ukristo sio sawa na uislamu ndugu.
Yesu alitahiliwa siku ya nane lakini huwezi kuta kanisa linasisitiza kutahili hizo ni tamaduni za wayahudi na sio kila kilichopo kwenye bible ni kinalenga watu wote zingine kuna mambo yanahusu tamaduni husika kuvaa, chakula nk, Yesu alifunga kula lakini huwezi kuta kanisa catholic linasisitiza kufunga kula bali kuacha matendo maovu
Tofauti ya ukristo na uislamu wakristo tunaamini tumeombolewa kwa neema na kufika mbinguni ni kwa neema na kupotia yesu kristo ninyi manaamini kufika mbinguni ni kwa jitihada zenu kufuata sheria, kufunga nk.
 
basi wakasomee kanisani basi
Waislamu wanamfuata Yesu kivitendo,sio kwa maneno tu.Mama Mariya,ni mama wa Yesu,ni katika uislamu,huyu mama anahesabika ni mwanamke bora,kuliko wanawake wote,kwa kufuata alivyokuwa akivyaa,ni kumfuata mwanamke bora.
 
Kasome hapa labda dhehebu lenu 😅😅 kujistiri ni lazima

View: https://youtu.be/notvo-s6QC4?si=cEbK_q7jo-xhoxc9

Wataka na mimi nikuletee ya dhehebu ;ako linalosisitiza kuua kwa kuchinja wasio wa imani yako?

Yesu alipokuja alikuta MAFARISAYO na MASADUKAYO ambao waliishi kwa torati ya Musa kwa sheria na torati ya Musa wakijihesabia haki. Umesahau walimkamata mwanamke mzinzi nz kahaba wakampeleka kwa Yesu ahukumiwe, akawaita wanafki wakubwa na ambaye hajawahi kuzini awe wa kwanza kuurusha jiwa[nani alirusha zaidi ya kutawanyika?]
vivyo hivyo hayo mavazi si kitu, watu wanajifunika mamitandio lakini washatoa mpaka nyuma[mk***],utakatifu ni moyo na si aina ya mavazi, achana na torati usiyoweza kuiishi.
 
Yaani huu ujinga hauingii akilini kabisa 😅😅...Wanyolewe nywele halafu waambiwe wafunike nywele zao ?

Ukweli ni kwamba ni lazima kufunika nywele wanaohubiri ndio maana masisters wanafunika nywele zao , pale kanisani kwa sababu hata mitindo ya nywele ya kuremba haitakiwi..

Taratibu ya kusali bila ya kufunika kichwa kwa wanawake ni taratibu za kipagani ,tena kinyume cha taratibu za kanisa ...Kunyoa nywele sio tatizo katika ukristo ishu ni kuacha kichwa wazi .

Hayo maneno hapo hayana collocation kabisa kwa vile utaratibu wa kanisa ni kufunika kichwa ili kuficha nywele sio kipara kama unavyojidanganya ,au upewe maelzo ya mchungaji wako ndio utaamini ?

Kanisa halitambua hata wanawake kweny kuwa viongozi hata uende Vatican hakuna wakubwa ambao ni wanawake .
Ulishawahi kukuta wapi sisiter anahubili kanisani!?
Msingi mkuu wa dini ya kikristo ni Yesu basi hayo mengine ni nyongeza tu kama ninyi mnavyoita suna japo sisi ufanye usifanye wote mko sawa mbele za Mungu kulingana na imani yako
 
Kwenye Mambo mengi sana ya kijamii,taifa kwa ujumla hatujui dini inaanza wapi na mwisho wa mipaka yake ni ipi...

Sina ujuzi wa hili suala, taasisi za kidini zinapewa misamaha ya Kodi na serikali kwasababu wanatoa huduma za kijamii..Elimu ni huduma mojawapo.tofauti yao na biashara nyingine za kawaida ni ndogo,biashara zinalipa Kodi ili serikali zikatoe hizo huduma kwa wananchi wake bila ubaguzi... Ndio maana mfanyabiashara ana privilege ya kutokumuuzia bidhaa au kutomuhudumia mtu yeyote tule

Sasa taasisi hizo hizo za kidini zinapokuja kujiwekea Sheria ambazo zina'bagua' watu na wanaweza wasipewe hizo 'huduma' automatically wamejitangaza kama biashara.. wapigwe Kodi tujue moja... Na hii naiona kwa wakristo na waislamu vile vile..
 
Mama Mariya,amependex

Stara ni alivyokuwa akivyaa mama Mariya,angalia picha zake.Mama Mariya,ndio mama wa Yesu.Waislamu huwa wanafuata Injili kwa vitendo,sio kusoma maandiko tu.
Hizo picha za Mariamu mwenye kasura ka upole na gauni refu ndio ilivyokuwa miaka hiyo 2,000 iliyopita?

Mdogo wangu achana na hekaya za abunuwasi, Hakuna ajuaye hata sura ya maria wala Yesu ilivyokuwa zaidi wandishi wametengeneza picha kutokana na alivyoelezewa mtu mpole, mrefu , nywele na kadhalika.
Lile ni lisanamu tu hata picha ya Yesu ni mzungu mmarekani nashanga sana kuna dini inaabudu kabisa.
 
Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Wamelazimishwa kwenda kusoma hapo? BAKWATA wana vyuo kwa nini wasiende kusoma huko?
 
Kwenye Mambo mengi sana ya kijamii,taifa kwa ujumla hatujui dini inaanza wapi na mwisho wa mipaka yake ni ipi...

Sina ujuzi wa hili suala, taasisi za kidini zinapewa misamaha ya Kodi na serikali kwasababu wanatoa huduma za kijamii..Elimu ni huduma mojawapo.tofauti yao na biashara nyingine za kawaida ni ndogo,biashara zinalipa Kodi ili serikali zikatoe hizo huduma kwa wananchi wake bila ubaguzi... Ndio maana mfanyabiashara ana privilege ya kutokumuuzia bidhaa au kutomuhudumia mtu yeyote tule

Sasa taasisi hizo hizo za kidini zinapokuja kujiwekea Sheria ambazo zina'bagua' watu na wanaweza wasipewe hizo 'huduma' automatically wamejitangaza kama biashara.. wapigwe Kodi tujue moja... Na hii naiona kwa wakristo na waislamu vile vile..
Kwahiyo , unaweza kwenda Mecca kuhiji na pedo na jumper na mgongo upo wazi kwakuwa ni tassisi ya kidni haipaswi kubagua?

Unaweza kwenda msikiti na ukaingia na viatu kwakuwa hawaruhusiwi kubagua?
 
Kweny biblia hakuna kufunika kichwa?una uhakika?

Wale ma'sisters kufunika kichwa dunia nzima ile sheria wametoa wapi?

Biblia huijui wala ukristo wako unafuta wazungu ,iyo demokrasia ni full of bias ,unampa mtu uhuru wa kuvaa ila hijab hutaki😅😅
Ona sasa ulivyo mjinga, kanisa catholic Tanzania wana tamaduni zao ukitaka hiyo demokrasia nenda kanisa catholic Marekani huko nao wana demokrasia yao.
Na kujua biblia kwa mkriso sio lazima kama ninyi kukalili qurani.
Biblia sio gazeti au hadithi kama ilivyo kuran ndio maana unaambiwa soma biblia ukiwa na roho mtakatifu.
 
Umepigilia msumari penye kidonda
Ndege kama Qatar Airways ni ya nchi ya kiislamu lakini wahudumu wake huvaa vimini vinavyobana matako na nyuso wazi .

Waislamu hasa wanaume wa Tanzania shida akiona kasikio tu kako wazi ka mwanamke dude lake katikati ya mapaja linainuka
Wanajifanya washika torati, wawa-kemee kina Diamond, Zuchu anavaa chupi na msikitini anaingia na ndio kioo cha watoto wa kike wa kiislamu.
Wamkee Wema Sepetu na akina amber Rutty.
 
Nimekuambia ukristo sio sawa na uislamu ndugu.
Yesu alitahiliwa siku ya nane lakini huwezi kuta kanisa linasisitiza kutahili hizo ni tamaduni za wayahudi na sio kila kilichopo kwenye bible ni kinalenga watu wote zingine kuna mambo yanahusu tamaduni husika kuvaa, chakula nk, Yesu alifunga kula lakini huwezi kuta kanisa catholic linasisitiza kufunga kula bali kuacha matendo maovu
Tofauti ya ukristo na uislamu wakristo tunaamini tumeombolewa kwa neema na kufika mbinguni ni kwa neema na kupotia yesu kristo ninyi manaamini kufika mbinguni ni kwa jitihada zenu kufuata sheria, kufunga nk.
Bila kufuata Yesu kivitendo,hujamfuata.Waislamu wanamfuata Yesu kivitendo,kupitia Injili,uislamu,unaamini Injili ni kitabu kitakatifu,kutoka kwa Mungu.Hata mavazi aliyokuwa akivyaa Yesu,kanzu,kilemba,ndevu,makubadhi,ni mavazi waislsmu wanavyaa.Ukisema mavazi mavazi ya mama Mariya,utamaduni wa Wayahud,ulimuona mwanamke gani wa kiyahud,anavyaa kama mama Mariya.Na pia mbona masister,wanavyaa nguo ndefu na kufunika kichwa,kama utamaduni wa kiyahudi,wakati huyo sister ni mwafrika
 
Kwahiyo , unaweza kwenda Mecca kuhiji na pedo na jumper na mgngo upo wazi kwakuwa ni tassisi ya kidni haipaswi kubagua?

Unaweza kwenda msikiti na ukaingia na viatu kwakuwa hawaruhusiwi kubagua?
Saudia ni non-secular country..Dini ndio mwanzo na mwisho wa Kila aspect ya maisha ya kule..

inasikitisha kuona mkongwe kama ww,hata hiyo distinction huioni.
 
Umepigilia msumari penye kidonda
Ndege kama Qatar Airways ni ya nchi ya kiislamu lakini wahudumu wake huvaa vimini vinavyobana matako na nyuso wazi .

Waislamu hasa wanaume wa Tanzania shida akiona kasikio tu kako wazi ka mwanamke dude lake katikati ya mapaja linainuka
Tofautisha uislamu,na muislamu.Uislamu unataka wavyae hivyo,kama mtu having ni yeye mwenyewe.Ni sawa mtu awe chama fulani cha siasa,na kila chama kina sare zake za kuvyaa,lakini wapo wanachama hawavai hizo sare.
 
Bila kufuata Yesu kivitendo,hujamfuata.Waislamu wanamfuata Yesu kivitendo,kupitia Injili,uislamu,unaamini Injili ni kitabu kitakatifu,kutoka kwa Mungu.Hata mavazi aliyokuwa akivyaa Yesu,kanzu,kilemba,ndevu,makubadhi,ni mavazi waislsmu wanavyaa.Ukisema mavazi mavazi ya mama Mariya,utamaduni wa Wayahud,ulimuona mwanamke gani wa kiyahud,anavyaa kama mama Mariya.Na pia mbona masister,wanavyaa nguo ndefu na kufunika kichwa,kama utamaduni wa kiyahudi,wakati huyo sister ni mwafrika
Ukinionyesha sehemu Yesu anasema tuvae kama yeye nitavaa.
Ukinionyesha sehemu Yesu anasema tuvaa kama mama yake nitavaa.
Tofauti na hivo ni taratibu watu walizo kubaliana na sio maagizo kutoka kwa Mungu(revelation).
Masisiter wanavaa kwa sababu ni vazi rasmi lililowekwa na kanisa kama vaazi la kiheshima kwao lakini halina cha kufanya na roho zao kwenda au kutokwenda mbinguni.
Na issa mbona sio Yesu lakini waislamu mnalazimisha issa aonekane Yesu!?
Yesu ni mtoto wa Mungu aliye kuja kuukomboa ulimwengu nyie mnaamini hilo!?
Ukristo unaamini katika kile kilichoko ndani ya moyo wa mtu Yesu anasema lalueni mioyo yenu na si mavazi yenu.
Mambo ya mavazi na chakula na lugha inabaki kwa kile utamaduni wetu unacho kiona ni sahihi.
Ulaya mtu ataingia na miniskirt, south mtu ataingia na miniskirt.
Bongo utavaa skirt inayovuka magoti huo ndio walaka wa tec
 
Tofautisha uislamu,na muislamu.Uislamu unataka wavyae hivyo,kama mtu having ni yeye mwenyewe.Ni sawa mtu awe chama fulani cha siasa,na kila chama kina sare zake za kuvyaa,lakini wapo wanachama hawavai hizo sare.
Sasa kama uislamu unataka avae hivyo, akasome chuo cha uislamu, huku kwa MAKAFIRI mnatafuta nini?
 
Back
Top Bottom