Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Mwanamke halindwi kiheshima anajilinda mwenyewe akipata mafunzo sahihi kwa mama yake

Kwenye Ukristo mama ndie mwenye kazi ya kufunza mtoto wa kike
Kwenye Uislamu kitu cha ajabu unakuta wanaume wa kiislamu ndio hujitia kufunza adabu na heshima wanawake na wasimamia sharia za mwanamke.wa kiislamu avaaje asipovaa wanatembeza mikwaju kana kwamba wanawake hawawezi kujisimamia na kujua kujiheshimu kukoje
Mbona unaongea uongo hapa😅😅Yesu hakuwa na mwanafunzi wa kike kwanza... Kanisani wanawake hawaruhusiw kuuliza maswali hata hawa prophetess ni kinyume cha Biblia .

Hakuna papa mwanamke katika dini yenu...Wachungaji kama wote ni wanaume hata wanaotoa mafunzo ya ndoa ...Mafundisho kule wanafundisha wanaume
 
Alie vaa juba na wewe unae vaa kimini mbele ya wanao wakiume na baba yako na kaka zako mapaja makwapa yakiwa wazi nani punguani?hata kulala nao kitanda 1 unaweza sababu huna haya
Hakuna shida kwa Wakristo sababu hakuna awezaye mtamani dada yake au mama yake au binti yake shida huko kwenye uislamu baba aweza mtamani binti yake mapaja yakiwa wazi au mabega
 
Kwahiyo stara inalazimishwa?
Ndio maana nimekuambia unapoenda kweny hadhara ni muhimu ,stara inawaoa uhuru hata watu wengi ndio maana ukikaa chumbani kwako unaweza kuvaa boxer ila huwezi kuvaa ukiwa kazini mbele ya wafanyakazi wenzio.
 
Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Mnajali mavazi zaidi kuliko elimu, sijawahi kuona Post ikilalamikia ufanisi duni wa chuo kikuu cha kiisilamu Morogoro na shule xinazoendeshwa na jumuia za kiisilamu.
Swala la mavazi mbona masista wa Katoliki wanavaa nguo ndefu na vilemba lakini wamejiendeleza kielimu.
 
Wanwake wapi wa kiislamu unaopenda wanavyovaa?
Naomba picha na majina.

Mimi nakupa majina kwakuwa unawafahamu.
1. Zuchu.
2. Hamisa Mabeto.
3 Amber Rutty.
4. Lulu Diva.
5. Leyla Rashid.
Jaji naona unaleta ujanja wa mbuzi kujambia mdomo. Najua umenielewa sema unataka ligi ya kipuuzi.
 
Ni kweli wanalisujudia sanamu,
.Wewe kinakuuma nini?
Unataka watu wote waishi utakavyo?
Wakati nyie mkipambania kuvaa mivazo mnayoiita ya stara,wenzenu wanapambana kuongeza wigo wa taasisi za huduma ya jamii nchi nzima.
Kwa sasa kila ilipo parokia yeyote nchini,nasema parokia,lazima kuwe na either shule,chuo au hospitali.Ifikapo mwaka 2035 Kanisa Katoliki litakuwa na idadi sawa za taasisi za elimu na serikali kwa sababu strategically huo ndio mpango.Kuwa na chuo Kikuu kila Mkoa na kuitawala sekta ya elimu nchini.Mkiwa bado mnapiga mazoezi ya judo misikitini wenzenu wanafikiria kuwa na academic excellence na kuamua kila kitu kwenye kila sekta ya nchi.
Usimwamshe aliyelala!
Umesahau jambo 1 kulisema kufika mwakao ulio utaja kanisa katoliki litakuwa na idada kubwa ya mashoga tz

Kanisa liko kibiashara hata wewe na mimi hakuna tofaoti kama huna hela uwezi kwenda kusoma kwenye shule hizo unazo zisifiya hata uwe na msalaba shingoni unabuluta chini kama huna hela upati huduma bali mimi muisilamu nikiwa na hela nitapewa kipaumbele tu

Miladi yote ya kanisa iko hapa kibiashara tu kama walivyo boda boda wanao faidika ni mapadiri na papa tu wewe utaishia kusifia tu kani alina urafiki na mtu rafiki yake ni pesa bila kujali pesa hiyo ni ya ushoga au sio [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ndio maana nimekuambia unapoenda kweny hadhara ni muhimu ,stara inawaoa uhuru hata watu wengi ndio maana ukikaa chumbani kwako unaweza kuvaa boxer ila huwezi kuvaa ukiwa kazini mbele ya wafanyakazi wenzio.
Unajichanganya sana kujibu kwasababu unaujua ukweli,kuna shule inaitwa mtwaraislamic kuna mzee alimpeleka mwanae pale ila ni mkristo uongozi ukamwambia inabidi abadili jina...kuna mwenzio hapo juu anadai kuwa uislamu unapigwa vita nikamwambia hata aya za Quran nazo zimetaja kabisa kuwachukia wasio waislamu chakushangaza kaja pm kunitukana
 
Umesahau jambo 1 kulisema kufika mwakao ulio utaja kanisa katoliki litakuwa na idada kubwa ya mashoga tz

Kanisa liko kibiashara hata wewe na mimi hakuna tofaoti kama huna hela uwezi kwenda kusoma kwenye shule hizo unazo zisifiya hata uwe na msalaba shingoni unabuluta chini kama huna hela upati huduma bali mimi muisilamu nikiwa na hela nitapewa kipaumbele tu

Miladi yote ya kanisa iko hapa kibiashara tu kama walivyo boda boda wanao faidika ni mapadiri na papa tu wewe utaishia kusifia tu kani alina urafiki na mtu rafiki yake ni pesa bila kujali pesa hiyo ni ya ushoga au sio [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Huduma yeyote lazima uipate kwa pesa ndio maana hata hauwezi kwenda kuhiji maka bila pesa,na hata ukifika kule maka kuanzia mawe yale wanayompigia shetani nayo huwa hawagawi bure bali wanauza...hakuna cha bure hata nakala za Quran nazo zinauzwa
 
Katoliki wapo kibiashara sio muda mrefu watakubali hizo nguo za kiisilamu zivaliwe hili wapate maokoto
Soko la waumini wao tu kubwa mno hadi wanashindwa kukidhi mahitaji

Uliza shule zao tu kupata Nafasi shida tofauti na shule za kiislamu za bora liende ujigusa tu umepata
 
Wakristo uwezo wa kuhimili matamanio ni mkubwa kuliko waislamu

Mfano sasa hivi wakristo wako kwenye mfungo wa siku 40 lakini hawalazimishi mtu kufunga pia sehemu za vyakula hawafungi kula hadharani ruksa wewe kula tu sababu kwenye kufunga Kikristo hutakiwi kujionyesha, mfungo unakuwa batili na sala zako zinakuwa batili.Na lazima kudhibiti matamanio yote mabaya waweza kuwa unauza chips kuku unauza na umefunga na mtu hajui kuwa umefunga.Ndio maana hata muda huu waislamu wengi hawajui kuwa Wakristo wako kwenye mfungo tena wa siku 40 sio siku chache 30 kama za waislamu

Sasa njoo mfungo wa Ramadhani kelele kibao ohh mimi nafunga ,usile mbele yangu na marufuku hoteli na sehemu za vyakula kufunguliwa mnatupa matamanio kufungua
Inabidi hadi nchi kama Zanzibar na nchi za kiislamu serikali itoe tamko kabisa mtu yeyote atakae uza chakula hadharani au kula atakiona cha mtema kuni kusaidia watu wafunge sababu uwezo wao wa kudhibiti matamanio ya kula urojo,chips kuku,pilau nk uko sifuri

Sasa mwanamke akionesha kapaja tu kidume cha kiislamu kadude kake kanainuka uwezo wa kudhibiti matamanio nyege zake hana hasa wanaume wa kiislamu sijui walitupiwa majini au nini? Hawana uwezo kabisa wa kudhibiti matamanio.Wakristo wako fit hata apite uchi mwanamke wanaume wanaona kichaa tu wanaendelea na mambo yao.Lakini waislamu utasikia Astakafilulah hata waweza mrushia mawe madude yao ndani ya kanzu yanainuka ghafla kama winchi ya kupakia mizigo bandarini wakati wenzao wakristo wala.
Yesu alifunga siku 40 usiku na mchana hii funga ya kufunga kula nyama mala mwisho saa 5 asubuhi mala kula kidogo imetoka wapi?
 
Yesu alifunga siku 40 usiku na mchana hii funga ya kufunga kula nyama mala mwisho saa 5 asubuhi mala kula kidogo imetoka wapi?
wakristo hufunga mchana tu siku Arobaini Yesu wala hakuagiza kuwa wafunge siku 40 ni uamuzi uliokubaliwa wa hiari sio wa kulazimishwa kwa amri na yeyote toka miaka hiyo kanisa lilipoanza hadi leo
 
Waislamu nanyi anzisheni vyuo vya afya vya kutosha hapa mtakua mmewakomesha wakristo
Unachekesha sana kweni hicho chuo chako?kipi unacho faidika nacho kutoka kwenye hicho chuo au hosipital za kanisa?kama huna hela unakufa tena sisita atakuoita umeketi kwenye benchi na msalaba wako shingoni,niko Ifakara hapa kirombero kuna hosipitali ya loma
 
Wasipinge pia au kunyanyua midomo yao mashoga kubarikiwa.
Mbona unatutoa kwenye mada mkuu?Tishakwambia asilimia tisini ya mashoga hapa bongo ni ndugu zako katika imaan.Wanawake wanaotoa ndogo kwa asilimia kubwa ni ndugu zako katika imaaan na wanapatikana mikoa ya Tanga,Pwani,Mtwara,Lindi, Dar eslaam,.Mombasa,Zanzibar na maeneo mengi yanayokaliwa na ndg zako katika imaan.Kwao kufanya hivyo ni sunna!
 
Back
Top Bottom