Mwalimu wa field
Member
- Jul 30, 2024
- 60
- 129
Tujitahidi kuwalea watoto wetu kwenye misingi na maadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mwalimu mimi ni mwalimu wa field😁Uandishi gani huo??
halafu ni mwalimu dah
Dangeroushii nchi haina mwelekeo kabisa...
Wewe ni mwalimu dhaifu sana na usiye na maadili.Ukibanwa kidogo tu unaingia kwenye mifumo ya watoto?You need to be renourished.habari jf expert
Mimi ni mwalimu nimebahatika kufundisha shule tatu ambapo katika shule hizo nimekutana na changamoto nyingi sana kutoka kwa vijana wetu
A.mkoani lindi
kipindi nipo shule X mkoani lindi nilikutana na wamafunzi wa ajabu sana
Jambo la ajabu kabisa ni kuona mwanafunzi akimtongoza mwalimu mwanafunzi wa kike ambae ni mrembo sana nahisi hata jf hakuna kama huyo alifanikiwa kunifatilia sana na kuomba kukutana na mimi akidai kua anamazungumzo na mimi
Marakwamara nikikutana nae nikimuuliza mazungumzo gani alishindwa kujieleza
Mwisho wa siku niliamua kumpa namba ya simu kama anashida anieleze inawezekana anachangamoto za kifamilia
Mwisho wa siku nikajikuta nimejaa kwenye mfumo wake
aLitokea kunipenda sana mwisho wa siku nikaamua kumkata baada ya muda flani akataka kujiua na kesi ilitaka kufika shule lakini tukalimaliza
niliamua kupoteza mawasiliano pindi anaponitumia ujumbe wa simu
baadae tena mdada mzuri sana aliomba aje nyumbani niwe nafundisha kweli nilimkubalia kwa sababu ya uhitaji wa taaluma
Mwishowe mambo yalibadilika yule mwanafunzi akifika nyumbani ni stori za mapenzi mwisho alifanikiwa kuniteka
BAadae akatokea mwingine kwa lengo kufundishwa nae alibafilika mwisho kabisa alikua anaaga kwao anaenda shule usiku kusoma muda wa prepo kuanzia saa moja hadi saa nne na nusu usiku alikua anakuja nyumbani
Walitokea wengi sana wanarequest mwisho nikaamua kuondoka
B.PWANI
HUku pia changamoto ni ilele walijitokeza wengi sana hadi kama mwalimu nachanganyikiwa
Ndugu zangu jama jf tujitahidi kuongea na watoto wetu kuhusu mahusiano ,watoto wanaharibika sana
Bikra nyingi zipo shule na ndipo zinapoharibika kwa wanafunzi wetu
Wa aza asalam aleykum
Uelekeo upo kama tutaamua kuwafundisha vijana wetu tabia njemahii nchi haina mwelekeo kabisa...
😂😂😂😂😂😂Mwanafunzi wa kike ambae ni mrembo sana nahisi hata jf hakuna kama huyo alifanikiwa kunifatilia sana na kuomba kukutana na mimi akidai kua anamazungumzo na mimi
Sijabaka mkuuKesi ya ubakaji inatesa sana, inafirisi Na pia inakuharibia kwenye jamii kuwa makini mwalimu
Niliita mzazi nikaongea nae mkuuIssue sio watoto ila ni pepo la umalaya ulilonalo.
Unashauri wazazi waongee na watoto wao hususani kwenye mahusiano.
Wewe ulitakiwa uwajibike kama mzazi na uwaite hao wazazi mshauriane kwa pamoja namna ya kuwasahauri hao wanafunzi.
Mchungaji unakula kondoo,na hao wazazi wa hao watoto huenda ni malaya na mbwa kama wewe,watawashauri nini watoto?
😁😁😁Lipia tangazo.